DOKEZO Mamlaka zinasubiri nini kufanya uchunguzi wa tuhuma za Ushoga pale WCB?

DOKEZO Mamlaka zinasubiri nini kufanya uchunguzi wa tuhuma za Ushoga pale WCB?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mnataka kusema wale jamaa wa kundi hilo walamba midomo na macho mlendomko wana kiada za ushoga?
 
Zipo tuhuma zinazolikabili kundi la muziki nchini linalopendwa na wakubwa pamoja na watoto na ndiyo kundi linalotumiwa hata kwenye kampeni za kisiasa.

Kwenye kundi hili kuna watu wa ajabu wanaosadikika Kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja na kuna videos nyingi zinawaonesha watu hawa haswa kwenye shoo zao mbaya zaidi wamejificha kwenye kivuli cha "udizaina".

Wahusika na hili fanyeni uchunguzi HARAKA iwezekanavyo siyo kutaka kuifungia Twitter ''X'' na madanguro wakati kuna mambo ya ajabu yanafanyika wazi wazi hii nayo ni HATARI katika jamii yetu na WATOTO wetu.

Hii video Haina mahusiano yoyote na HABARI hii.

View attachment 3019596
Duuh
 
Back
Top Bottom