donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Nimegundua humu Jf kuna malezboo na mchele wa virutubisho wamejazana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ajabu iliyojeeeWenzenu hapo Kenya waandamana juu ya serikali yao ya kidhalimu, nyie mnaongelea makalio ya watu, umeme unakatwa katwa hovyo, hapa ninavyoandika wamekata tangu saa mbili usiku, ishu za msingi za kuishinikiza serikali tunakua kimya ila likija suala la kunusa makalio ya watu mnatanua pua kama nguruwe pori
Inasikitisha sana kwa wazazi wa NOEL.Zipo tuhuma zinazolikabili kundi la muziki nchini linalopendwa na wakubwa pamoja na watoto na ndiyo kundi linalotumiwa hata kwenye kampeni za kisiasa.
Kwenye kundi hili kuna watu wa ajabu wanaosadikika Kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja na kuna videos nyingi zinawaonesha watu hawa haswa kwenye shoo zao mbaya zaidi wamejificha kwenye kivuli cha "udizaina".
Wahusika na hili fanyeni uchunguzi HARAKA iwezekanavyo siyo kutaka kuifungia Twitter ''X'' na madanguro wakati kuna mambo ya ajabu yanafanyika wazi wazi hii nayo ni HATARI katika jamii yetu na WATOTO wetu.
Hii video Haina mahusiano yoyote na HABARI hii.
View attachment 3019596
Mkuu wewe pigania hayo wacha watu waipiganie jamii.Wenzenu hapo Kenya waandamana juu ya serikali yao ya kidhalimu, nyie mnaongelea makalio ya watu, umeme unakatwa katwa hovyo, hapa ninavyoandika wamekata tangu saa mbili usiku, ishu za msingi za kuishinikiza serikali tunakua kimya ila likija suala la kunusa makalio ya watu mnatanua pua kama nguruwe pori
bora umemjibu mkuuMkuu wewe pigania hayo wacha watu waipiganie jamii.
Kuna umuhimu gani wa kuwa na jamii iliyo na maisha bora halafu micundu inatembezwa hadharani kama dawa za kunguni??
Isijekuwa hauonekani barabarani uko zako chimbo unakula raha za mihogo.
MTOTO HANA CLEANSHEET
ni janga kubwa sana hiliZipo tuhuma zinazolikabili kundi la muziki nchini linalopendwa na wakubwa pamoja na watoto na ndiyo kundi linalotumiwa hata kwenye kampeni za kisiasa.
Kwenye kundi hili kuna watu wa ajabu wanaosadikika Kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja na kuna videos nyingi zinawaonesha watu hawa haswa kwenye shoo zao mbaya zaidi wamejificha kwenye kivuli cha "udizaina".
Wahusika na hili fanyeni uchunguzi HARAKA iwezekanavyo siyo kutaka kuifungia Twitter ''X'' na madanguro wakati kuna mambo ya ajabu yanafanyika wazi wazi hii nayo ni HATARI katika jamii yetu na WATOTO wetu.
Hii video Haina mahusiano yoyote na HABARI hii.
View attachment 3019596
Kuna mtu anaitwa wema sepetu nilishakutana and yupo na kundi la mashoga
Utashangaa hao wahusika unataka wafanye uchunguzi nao ni wadau wakubwaZipo tuhuma zinazolikabili kundi la muziki nchini linalopendwa na wakubwa pamoja na watoto na ndiyo kundi linalotumiwa hata kwenye kampeni za kisiasa.
Kwenye kundi hili kuna watu wa ajabu wanaosadikika Kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja na kuna videos nyingi zinawaonesha watu hawa haswa kwenye shoo zao mbaya zaidi wamejificha kwenye kivuli cha "udizaina".
Wahusika na hili fanyeni uchunguzi HARAKA iwezekanavyo siyo kutaka kuifungia Twitter ''X'' na madanguro wakati kuna mambo ya ajabu yanafanyika wazi wazi hii nayo ni HATARI katika jamii yetu na WATOTO wetu.
Hii video Haina mahusiano yoyote na HABARI hii.
View attachment 3019596
Aleft mara ngapi wakati kaolewa kabisa huyo.Huyo jamaa backside mbona kama kaleft
HONGERA SANA KWA KUKOSA MARINDA KIJANAHata nyinyi mnaopiga kelele humu siri zenu tumewaachia wenyewe, hayatuhusu sisi. Mnajifanya mapanga zuna kumbe hamna marinda, hatuna la kusema bwashee, tupo quiet tu.