Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Wawe makini p Diddy ana tabia kupita maeneo hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe ni member wa freemason?Kundi la WCB ni mwanachama wa freemason lazma hao mafundi wampe mashart Diamond kwenye kundi lake wawepo mashoga.
Hii haijakaa poa mnaweza mkafanya utani but sio kwenye hayo masualaNasikia huko wcb mnapelekewa moto.
Nani anafanya utani kwani?Hii haijakaa poa mnaweza mkafanya utani but sio kwenye hayo masuala
Kwanini mnatukanana matusi ya nguoni we umejuaje mwenzako anawekwa?Nani anafanya utani kwani?
Wewe umejuaje kua hawekwi?Kwanini mnatukanana matusi ya nguoni we umejuaje mwenzako anawekwa?
Wewe ndio umetoa shutuma kwake sio mimi hakukuwa na haja ya kumwambia hayo manenoWewe umejuaje kua hawekwi?
Kijana hebu punguza kukurupuka,Wewe ndio umetoa shutuma kwake sio mimi hakukuwa na haja ya kumwambia hayo maneno
hii comment imenirudisha kuiangalia video mara ya pili nikakiona ulichokikusudia ambacho mwanzo sikukiona nimesikitika sana........hapa namuwaza mwanangu tuuuu daaahKama yule pale ni mwanaume,basi zile nyakati zilizotabiriwa ndiyo hizi
hatar sanaNasikia harufuuu ROMA FT Benzino
siku ukija kuona mwanao anapumuliwa ndiyo utakuja kuona kumbe hili suala ni hatari katika jamiiHampigii kelele rushwa, ubadhirifu, huduma mbovu ila mnapambana na trivial matters. Hii nchi wanachi ni empty set kama viongozi wao tu.
hatari kabisa mkuuu tunapaswa kuwaombea vijana wetu wasikumbwe na hili pepooooooooooooooooooooooooooooooooooohii comment imenirudisha kuiangalia video mara ya pili nikakiona ulichokikusudia ambacho mwanzo sikukiona nimesikitika sana........hapa namuwaza mwanangu tuuuu daaah
na unakuta wanaunganishiana mpaka mabwanaAnaona kawaida kama yupo na mashost zake inasikitisha sana
siku ukija kuona mwanao anapumuliwa ndiyo utakuja kuona kumbe hili suala ni hatari katika jamii
Utafiti binafsi nimebaini, saluni za kike zenye wasusi mashoga ndio zinaongoza kuwa na wateja wengi. Tusitegemee mabadiliko yoyoteya maana juu ya hili swala.Hili swali mie pia huwa najiuliza, marafiki wakubwa wa mashoga ni wanawake. Hivi huyu huyu mwanamke mtoto ake akiwa shoga atamuentertain hivyo kwenda nae shughulini?? Akiwa kaka ake atafanya hayo??
KABISA MKUUUtafiti binafsi nimebaini, saluni za kike zenye wasusi mashoga ndio zinaongoza kuwa na wateja wengi. Tusitegemee mabadiliko yoyoteya maana juu ya hili swala.
Na bado naamini hata wakina Mwakyembe nao wana ajenda ya siri tofauti na wanayozunguka nayo kimtandao.
Angali mtu kama Pastor Kanyari pale Kenya hana anachokifanya TikTok ni sawa na akina Dokta tu, tofauti ni shuhuda.
Muda utasema yote.
MODERETA WAMEEDTMleta mada analeta mafumbo
Wakati hili swala ni kufunguka sio kufichaficha
Ugasho ndio nini ?
BCW ni wa kina nani?
haya jipige kifuani mara tatuhatari kabisa mkuuu tunapaswa kuwaombea vijana wetu wasikumbwe na hili pepooooooooooooooooooooooooooooooooooo