DOKEZO Mamlaka zinasubiri nini kufanya uchunguzi wa tuhuma za Ushoga pale WCB?

DOKEZO Mamlaka zinasubiri nini kufanya uchunguzi wa tuhuma za Ushoga pale WCB?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nilishaleta Uzi miaka 2 imepita.
Nilisema kuwa ili uwe maarufu kwenye usanii wowote lazima umsujudu Ibilisi kwa kuwa na matendo ya ushoga
Wafanye ushoga Wao huko wasituletee kwenye jamiii yetu na kizazj chetu
 
Zipo tuhuma zinazolikabili kundi la muziki nchini linalopendwa na wakubwa pamoja na watoto na ndiyo kundi linalotumiwa hata kwenye kampeni za kisiasa.

Kwenye kundi hili kuna watu wa ajabu wanaosadikika Kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja na kuna videos nyingi zinawaonesha watu hawa haswa kwenye shoo zao mbaya zaidi wamejificha kwenye kivuli cha "udizaina".

Wahusika na hili fanyeni uchunguzi HARAKA iwezekanavyo siyo kutaka kuifungia Twitter ''X'' na madanguro wakati kuna mambo ya ajabu yanafanyika wazi wazi hii nayo ni HATARI katika jamii yetu na WATOTO wetu.

Hii video Haina mahusiano yoyote na HABARI hii.

View attachment 3019596
Hatari sana
 
Wenzenu hapo Kenya waandamana juu ya serikali yao ya kidhalimu, nyie mnaongelea makalio ya watu, umeme unakatwa katwa hovyo, hapa ninavyoandika wamekata tangu saa mbili usiku, ishu za msingi za kuishinikiza serikali tunakua kimya ila likija suala la kunusa makalio ya watu mnatanua pua kama nguruwe pori
 
Kila mtu atumie mwili wake vile anataka. Asiwepo mtu wa kupangia mwingine.

Hairuhusiwi kupangia mwingine matumizi.

Noeli anaingiza pesa na anaishi vizuri hata kama ana haiba ya kike. Muhimu ni maokoto yasome kwenye bank account.

Kuna faida gani unajifanya kidume huku unashindia mihogo na chachandu!!?? 😁

Wacha Noeli achape kazi. Hajaomba ugali wa mtu.


Cc: Lamomy Poor Brain Yohimbe bark cocastic
tofautisha haiba ya kike na haiba ya kishoga
 
Wenzenu hapo Kenya waandamana juu ya serikali yao ya kidhalimu, nyie mnaongelea makalio ya watu, umeme unakatwa katwa hovyo, hapa ninavyoandika wamekata tangu saa mbili usiku, ishu za msingi za kuishinikiza serikali tunakua kimya ila likija suala la kunusa makalio ya watu mnatanua pua kama nguruwe pori
Unakubaliana na ushoga sio kwa sababu unasagana.
 
Back
Top Bottom