cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Rhabhekhaaaaa!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rhabhekhaaaaa!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hako kajamaa kwenye hiyo clip, kenye nywele kama tambi kanaonekana kabisa kua utambi umedumbukia kwenye kibatari.
Kwa hiyo wanaokopa wengine wanaosuguana wengine?Sasa mnaiomba serikali yenu mnadhani inawaweza??
Hapo waombeni west's wapunguze masharti na mishono kwenye misaada na mikopo yao.
Umeitika utadhani una adabu kweliRhabhekhaaaaa!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niliitwa mapema kabisaa.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii mada bila ww ingekua ajabu sana
Uchunguzoi wa nini na ushoga unajulikana upo na unapogtokea.Zipo tuhuma zinazolikabili kundi la muziki nchini linalopendwa na wakubwa pamoja na watoto na ndiyo kundi linalotumiwa hata kwenye kampeni za kisiasa.
Kwenye kundi hili kuna watu wa ajabu wanaosadikika Kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja na kuna videos nyingi zinawaonesha watu hawa haswa kwenye shoo zao mbaya zaidi wamejificha kwenye kivuli cha "udizaina".
Wahusika na hili fanyeni uchunguzi HARAKA iwezekanavyo siyo kutaka kuifungia Twitter ''X'' na madanguro wakati kuna mambo ya ajabu yanafanyika wazi wazi hii nayo ni HATARI katika jamii yetu na WATOTO wetu.
Hii video Haina mahusiano yoyote na HABARI hii.
View attachment 3019596
Kwani huyo zembwela si atoke hapo, shida nn km hataki watu aina ya Noel kuwa nao karibu? Njaa zinamtesa sanaa.Huu uchonganishi Sasa , siku nyingine usimtaje mtu kwenye mazingira aina hii hata kama ni kweli amekuambia.
Ni moja kati ya interview zenye mafunzo sana kaka ake gabo ni kichaa baada ya kumuibia mama yake mzazi na wakaitwa mashekh wakasoma albadir ipo YouTube mkuu kwenye account ya Salama na ipo kwenye laptop mkuu ningeweka hapa ila ni moja kati ya mahojiano mazuri sana.Duuuh naomba hiyo interview ya Gabo, natamani kuitazama.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo yeye.Kumbe ndo huyu wizo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani kumbe wizo ni wewe D 4 mxiewwww.!!
Wabongo hawa ni wa kuwapuuza tyuu, hawana hata akili wala ufahamu wa mambo,Kuna kitu naona kinachanganya watu wengi kuna wanaume wamezaliwa na genre za kike but sio mashoga shoga ni mwanaume yule ambaye anaingiliwa kinyume na maumbile sass kwanini tunawatuhumu kila mwanaume ambaye anahaiba ya kike ni shoga? na
Wakati unakuta ndio namna alivyozaliwa yuko hivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa sina adabu jamanii? WoiiiiiihUmeitika utadhani una adabu kweli
Naitaka hiyo interview nijionee akisema kuhusu yeye ku act as gay kwenye movie huko majuu. LolNi moja kati ya interview zenye mafunzo sana kaka ake gabo ni kichaa baada ya kumuibia mama yake mzazi na wakaitwa mashekh wakasoma albadir ipo YouTube mkuu kwenye account ya Salama na ipo kwenye laptop mkuu ningeweka hapa ila ni moja kati ya mahojiano mazuri sana.
Kundi la WCB ni mwanachama wa freemason lazma hao mafundi wampe mashart Diamond kwenye kundi lake wawepo mashoga.tupinge ushonga kwa hali na mali
Aisee, kazi ipoJamani Noel yupo hapo kikazi anawadizain Diamond na watu wake.Hata kama ana hizo tabia lakini wcp hapo ndipo anapata rizki zake!Acheni kuhukumu hawa watu hata kwenye shughuli za kawaida maana mwisho wa siku nao ni watu.Nyie mbona ni malaya,wafiraji,wachawi,wala rushwa hamjihukumu muda mwingine acheni watu waishi eeeh
Kusuguana ni siri ya kuta nne si ajabu hata waombaji nao ni wasuguanajiKwa hiyo wanaokopa wengine wanaosuguana wengine?
Wanakuweka wahuni ndio una mshindo muda woteKuna haka kachawa ka WCB sinza pazuri kutwa kumsifia bwana yao Diamond.
Nasikia huko wcb mnapelekewa moto.Wanakuweka wahuni ndio una mshindo muda wote
Kweli wewe bichwa komweKila mtu atumie mwili wake vile anataka. Asiwepo mtu wa kupangia mwingine.
Hairuhusiwi kupangia mwingine matumizi.
Noeli anaingiza pesa na anaishi vizuri hata kama ana haiba ya kike. Muhimu ni maokoto yasome kwenye bank account.
Kuna faida gani unajifanya kidume huku unashindia mihogo na chachandu!!?? 😁
Wacha Noeli achape kazi. Hajaomba ugali wa mtu.
Cc: Lamomy Poor Brain Yohimbe bark cocastic