DOKEZO Mamlaka zinasubiri nini kufanya uchunguzi wa tuhuma za Ushoga pale WCB?

DOKEZO Mamlaka zinasubiri nini kufanya uchunguzi wa tuhuma za Ushoga pale WCB?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Bwana kama huna uwezo wa kupigana kivita na marekani au mfalme charlse, wee kelele zako za ushoga ni just empty threats tuu
Watz sijui wana akili gani, kwamba kusoma hawajui hata picha hawaoni.

Hawakumbuki serikali iliyokua inajiona tukutu ya Magu ilivyomkana Makonda hadharani.
 
Bwana kama huna uwezo wa kupigana kivita na marekani au mfalme charlse, wee kelele zako za ushoga ni just empty threats tuu
Waambie hao straight uchwara wa Bongo, maisha yamewachapaa na hawana Pa kushika, wanabaki kuhaha na mashoga, utadhani ndo wanaowanyima ridhiki zao .

Watu wamevurugwaaa had ubongo una stuck, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
If you want to be top you must accept homosexuality hayo ni masharti asilimia kubwa ya wasanii wapo hivyo refer na kauli ya chidi benzi hata gabo kwenye kipindi cha Salama na alifunguka kuwa kama anataka kuwa star kwanza akubali kuwa kama shoga kwenye movie alipoenda nje ya nchi kuomba nafasi ya kuingiza kwa hyo kiufupi wasanii wetu wameharibikiwa.
 
Jamani Noel yupo hapo kikazi anawadizain Diamond na watu wake.Hata kama ana hizo tabia lakini wcp hapo ndipo anapata rizki zake!Acheni kuhukumu hawa watu hata kwenye shughuli za kawaida maana mwisho wa siku nao ni watu.Nyie mbona ni malaya,wafiraji,wachawi,wala rushwa hamjihukumu muda mwingine acheni watu waishi eeeh
 
na zembwela siku moja,alizungumzia hao watoto maisha yao kwa boss wao,kutwa kuongelea ngondo,na kwamba wanafumuana, zembwela akasema tunaishi nao hivyohivyo baasi tu
Hatali sana
Na humu sasa jf wanaume kwa wanawake wanavyowaentertain hawa mashoga utadhani jambo zuri yani mmmh, kweli hii ni msiba wa jirani, hauhusu.
 
Wanawake wanapenda kulipa kisasi! Akiona mwanaume akigalagazwa kama yeye anafurahia ajabu. Ndiyo maana mwanamke akimuona bikra huwa anaona uchungu, atafanya chini juu wambikiri ili afanane naye ili amcheke
Kama ni hivyo tumefikia nyakati mbaya sana
 
Back
Top Bottom