DOKEZO Mamlaka zinasubiri nini kufanya uchunguzi wa tuhuma za Ushoga pale WCB?

DOKEZO Mamlaka zinasubiri nini kufanya uchunguzi wa tuhuma za Ushoga pale WCB?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sasa mnaiomba serikali yenu mnadhani inawaweza??
Hapo waombeni west's wapunguze masharti na mishono kwenye misaada na mikopo yao.

Serikali yenu haiwezi kuwagusa hao, mtaishia kupiga kelele kila siku, kuwakamata wanaojiuza baada ya wiki mnawaachia. (Kiki za kisiasa)

Mwisho wa siku wanasiasa wanawaona wananchi kama mazuzu fulani hivi maana wanawachezea akili zenu watakavyo, siku mambo yakiwa magumu na wakataka kuzungumziwa basi ndo watawakata hao wa mitandaoni ili watrend baada ya wiki wataachiwa tena.

Lindeni vizazi vyenu, anza na mtaap wako, kama hupendi ushoga na usagaji anza kutoa elimu mtaani kwako kabla ya kuwasema hao kina Noeli ambao hata serikali yako uwezo wa kuwagusa haina.
 
Kuna ule uzi wa warumi nimesahau jina lake ukiupitia utaona vijana walivyokubuhu kwenye huu mchezo. Nadhani mpaka waziri fulani aliongelewa.

My take: Tupinge ushoga kwa ustawi wa vizazi vya kesho
Nyie pigeni kelele weeee, alafu kauli moja tuu kutoka kwa world super power mnanywea wenyewe 🤣🤣🤣🤣
Watu pekee dunia hii wanauweza kupiga ushoga na wakawa serious na jambo lao ni talibans tuu! Wengine wote tantalila zimewajaa
 
Sasa mnaiomba serikali yenu mnadhani inawaweza??
Hapo waombeni west's wapunguze masharti na mishono kwenye misaada na mikopo yao.

Serikali yenu haiwezi kuwagusa hao, mtaishia kupiga kelele kila siku, kuwakamata wanaojiuza baada ya wiki mnawaachia. (Kiki za kisiasa)

Mwisho wa siku wanasiasa wanawaona wananchi kama mazuzu fulani hivi maana wanawachezea akili zenu watakavyo, siku mambo yakiwa magumu na wakataka kuzungumziwa basi ndo watawakata hao wa mitandaoni ili watrend baada ya wiki wataachiwa tena.

Lindeni vizazi vyenu, anza na mtaap wako, kama hupendi ushoga na usagaji anza kutoa elimu mtaani kwako kabla ya kuwasema hao kina Noeli ambao hata serikali yako uwezo wa kuwagusa haina.
Inachomaa km pasi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waambie hao.
 
Nyie pigeni kelele weeee, alafu kauli moja tuu kutoka kwa world super power mnanywea wenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu pekee dunia hii wanauweza kupiga ushoga na wakawa serious na jambo lao ni talibans tuu! Wengine wote tantalila zimewajaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyiee nimechekaa had machoziiii. Khaaaah
 
Back
Top Bottom