F FRESHMAN JF-Expert Member Joined Sep 29, 2011 Posts 9,137 Reaction score 34,793 Jan 13, 2023 #1 Haji manara albinoz mjanjaz Baada ya Manara alipewa adhabu na TFF asingekuwa mjanja tungeshamsahau. Maana usemaji wake ndio kazi inayomfanya aonekane na kupata dili zingine. Mbinu yake ya wake wawili inambeba asisahaulike
Haji manara albinoz mjanjaz Baada ya Manara alipewa adhabu na TFF asingekuwa mjanja tungeshamsahau. Maana usemaji wake ndio kazi inayomfanya aonekane na kupata dili zingine. Mbinu yake ya wake wawili inambeba asisahaulike
Dr Justice JF-Expert Member Joined Feb 2, 2011 Posts 797 Reaction score 855 Jan 13, 2023 #2 Ulikuwa na sababu gani ya kuandika albinoz? Heshimu sana uumbaji wa Mungu
Mbwilimbwili Senior Member Joined Jun 30, 2020 Posts 183 Reaction score 282 Jan 13, 2023 #3 hamna kitu