Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Manara anawajulia kwelikweli😀😀😀Yanga habari kama hizi zinawafurahisha sana
Kama ni biashara hii imeisha 👇👇👇
Umbea huu! Lakini tusimlaumu au kumshutumu sana. Mdomo wake ndio unamuweka mjini.
Baadaye atawaambia hakumaanisha Chama, maana hajamtaja
Yanga habari kama hizi zinawafurahisha sana
Furaha za ndani ya uwanja zishaanza kupotea itabidi sasa wawekeze nje ya uwanja zaidiYanga hakuna watu kule ni misukule,lazima wafurahie taarifa kama hizi.
Mpaka sasa wameshinda kesi ya Morrison kule CAS engineer anashughulikia nakala ngumu ya kesi!Hao ndio yanga bhana
Kwa hiyo wakishampata Chama ndio tayari wamekuwa mabingwa?Furaha za ndani ya uwanja zishaanza kupotea itabidi sasa wawekeze nje ya uwanja zaidi
Ana Maana kua Yanga ndio nyumbani kwa mabingwa akiwa na maana ya 27 titles za PL.Anaposema Yanga ni home of champions maana yake nini?