Mandela halisi aliuwawa na makaburu huyu ni feki

Maneno ya mtaani ndo chimbuko la facts ijapo siwezi kuyaamini haya ila kila kitu kinawezekana na hata hizi sifa za wazungu kwa Mandera kimsingi zinaniacha inspired kutaka kujua zaidi

Ipo siku ukweli utadhihiri wenyewe.

Pia usisahau Kumchunguza Nyerere maana inadaiwa naye ni Mtusi.Watanzania bana tumekaa kiunafiki unafiki...Haya yote ni matoke ya kukosa shughuli za maana za kufanya.
 
1. Huyo mtu mweusi anaefanana na madiba mbona anajua kilugha vizuri au walimpata huko huko S.A2. Walimchukua akiwa kijana au mzee? Hao ndugu zake hawajawahi kumtafta huyo ndugu yao aliepotea?3. Hawakushtuka jinsi ndugu yao alivoonekana kwenye media?4. Huko magereza aliekuwa anatembelewa na akina obasanjo na Malechela alikuwa huyu feki?Kwa lifuatalo mtoa mada kanifikirisha5. Mandela kuna interview anasema alijua kuwa Winnie alikuwa mzuri sana na alimuoa akiwa na 23yrs ye 40. Kwa hiyo alijua hawezi kukwepa temptations kwa vile alikuwa mzuri saana na kijana, sasa kwanini alimwacha wakti alilijua hili...??? Na wakati huo ye ni bingwa wa kusamehe???
 
acha kuwapotosha watu angalia kwenye red hapo



Dah! Hapa sasa umetuchanganya tena.
Sina tatizo na picha mbili za mwanzo toka kushoto ila hii ya tatu mwisho upande wa kulia inaaminisha utata unaojitokeza unless iwe photoshop.
 
Kwa nini mtu akishafariki ndio mnasema maneno mbofu mbofu??alivyokuwa hai miaka yote hiyo kwa nini usiseme huyu ni Madiba feki?acha kuongea mbofu mbofu zako,yaani watu wa nchi yake wote wasione hilo,familia yake isione hilo,hata dunia nzima isione hilio! !!.acha maneno yako,itabidi tuitaarifu usalama wa Taifa Africa kusini wakukamate ukaonyeshe kaburi la Madiba halisi,maana wewe utakuwa unajua mengi,au topic hii usiirudie tena,tafuta nyongine.
 
siwezi sema habari hii ni ya kweli ama la ila kuna vitu vinanipa maswali mengi.
1. kwa nini alishindwa kusameheana na winnie wakati ni shujaa wa kusamehe na yeye na winnie wametoka mbali au winnie alikataa?
2. je kuna ukweli kuwa kweli alipandikizwa ili akitoka jela ahubiri msamaha wa hali ya juu maana wazungu walihisi mandela mwenyewe angetoka gerezani basi ingekuwa kiama chao?
3. mbona wazungu wanamuhusudu sana isivyo kawaida?
4. mambo aliyofanyiwa gerezani kwa mtu wa kawaida kusamehe kirahisirahisi tu inahitaji utakatifu wa hali ya juu na usiokuwa wa kawaida. kama kweli ni yeye Mandela original basi anastahili kutangazwa mtakatifu haraka sana
 

Mtu akisha kua na jina la Slaa tu,baaaasi...akili zote zinamtoka...ona sasa u are very skeptical on senseless issue...mji nga kabisaa
 

Nami nilitaka kusema kama wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…