Maneno gani huyaamini kutoka kwa mwanamke?

kwa kifupi kila neno litokalo kwa mwanamke linapaswa kupitishwa kwenye CT SCAN, ANT VIRUS, ULTRA SOUND na kila aina ya vipimo uvijuavyo...

mimi nili date na mtoto wa 2000 way back akaniambia hajawahi kukutana na mwanaume for over 3 yrs, nikamini... Hio ni long distance r/ship

kmmk siku tunakuja kukutana nakuta ana mimba ya miezi minne ya mshkaji jirani yake..

kmmk simwamini Ke yeyote kwenye mahusiano
 
Khaa!
 
Alikudharau sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…