Walimu wana akili ndogo sana.Nilikuwa mwalimu, honestly kuna wakati huwa najiuliza hivi kwa nini walimu wengi wako very myopic katika thinking capacity. Huwa nikiikumbuka staff yetu huwa namshukuru Mungu kwa kunipa akili ya kujiongeza haraka nikaachana na hiyo kada
Walimu wana akili ndogo sana.
Sijui ilikuwaje nikawa mwalimu yaani sijawahi ona,watu wajinga wanafundisha watoto wa Kitanzania na ndiyo maana Tanzania ina watu wajinga sana.
Sasa ww watu wana masters, phd, wana wasiwasi, afu ww unawaita wajingaAfadhari wewe watu wa bar ndiyo hawaelewi.
Mimo nipo staff moja na walimu wote wana degree na masters lakini Gwajima ni reference yao,yaani wamesababisha nimepewa onyo leo kwa kelele.
Ujinga bado ni mkubwa hapa nchini.
Mhhh, hapo umeenda mbali mno mkuuGwajima 2025 atangaze nia...anaweza kuwa msukuma wa pili kuchukua nchi🤣
Eti kichaa, ww mzima una nn cha kumfikia kichaa yule. Wajinga sana nyinyi, kujikuta werevu kumbe zerowataala waje kujibizana na kichaa
Hakika..... Watu wanamchukulia Poa.... Lakini katika hili anawakamata sana watu wa hali za chini......Gwajima 2025 atangaze nia...anaweza kuwa msukuma wa pili kuchukua nchi[emoji1787]
Acheni dharau jameni.... Rais wako wa kwanza wa JMT alikuwa Mwalimu.... Isitoshe Hata aliyekufanya ukajua kusoma na kuandika hivi ni mwalimu....Walimu wana akili ndogo sana.
Sijui ilikuwaje nikawa mwalimu yaani sijawahi ona,watu wajinga wanafundisha watoto wa Kitanzania na ndiyo maana Tanzania ina watu wajinga sana.
Unautafiti unaoonyesha kwamba watu wakichanjwa inapunguza death rate kwa asilimia ngapi ?Wacha waamini watakavyo, yakishawakumba watapata akili.
Gwajima anaushawishi mkubwa Sana(Retoric person) maneno yake yana ukweli mtupu leo mchana nikiwa nasikiliza DW Swahili mchana nimesikia taarfa hadi nimestuka kwamba Rais wa marekani Joe Burden anawaomba wamarekani wapewe dollar 100 kila anaechanjwa swali kulikon mtu apewe pesa ndo achanjwe kuna ajenda gani??????The come back of Rashid Gwajima siyo ya kitoto we mchukulie kama chizi au serious(mimi huwa namuona mwehu )ila nipo Tabata hapa ka grocery fulani tunabishana suala la chanjo reference ya hawa jamaa ni video ile ya Gwajima najaribu kuwaelewesha nimeshindwa,anyway nime stick kula beer tu huku nacheka.
Nimependa part alipopiga kunako kwamba kuna watu wamechukua FUNGU ili watupe hofu ya Corona akauliza mbona wakati wa Magufuli haya hayakuwepo?
Hivi Shehe Ponda au Mnyika angeongea speech ile leo angekuwa uraiani kweli?
[emoji106][emoji106][emoji120][emoji120]Mbunge hawezi kukamatwa mpaka SPIKA aitoe HATI YA KUKAMATWA KWAKE.......
Tusifike huko.....
Kauli ya sheikh. Ponda huwa inaweza kuwa na madhara makubwa pale atoapo na ndio maana amekuwa akiingia katika mtafaruku na VYOMBO VYA DOLA....
Sheikh Ponda anajulikana kwa kuwa MAKINI NA MISIMAMO YAKE....huyu ndugu yuko SERIOUS huwezi kumuona katika SKENDOSKENDO hata za "kuzushiwa"........
Nimepita VIJIWE VYA KAHAWA VINGI kiukweli GWAJIMA "anapingwa" na kila mtu....
Hata wale wanaoipinga hii CHANJO bado WANAZIPINGA KAULI ZAKE TATA ALIZOTOA juzi ibadani......
WATANZANIA WALIO WENGI NI WAELEWA UKIACHA WALE WACHACHE TU AMBAO NI BENDERA FUATA UPEPO KWA VIONGOZI WASIO NA STAHA NA NDIMI ZAO
#TujiandaeKuchanjwa
#JMTMilele
#NchiKwanza
#KaziIendelee
👊👊[emoji106][emoji106][emoji120][emoji120]
Watu wengi,wamemuelewa Rais vizuri na Waziri wa Afya.Wengi wanasema wakumsiliza ni Rais na Waziri wa afya.The come back of Rashid Gwajima siyo ya kitoto we mchukulie kama chizi au serious(mimi huwa namuona mwehu )ila nipo Tabata hapa ka grocery fulani tunabishana suala la chanjo reference ya hawa jamaa ni video ile ya Gwajima najaribu kuwaelewesha nimeshindwa,anyway nime stick kula beer tu huku nacheka.
Nimependa part alipopiga kunako kwamba kuna watu wamechukua FUNGU ili watupe hofu ya Corona akauliza mbona wakati wa Magufuli haya hayakuwepo?
Hivi Shehe Ponda au Mnyika angeongea speech ile leo angekuwa uraiani kweli?
Kwa kuwa thinking capacity yao huwa inakuwa reduced to the level of their pupils/students.Nilikuwa mwalimu, honestly kuna wakati huwa najiuliza hivi kwa nini walimu wengi wako very myopic katika thinking capacity. Huwa nikiikumbuka staff yetu huwa namshukuru Mungu kwa kunipa akili ya kujiongeza haraka nikaachana na hiyo kada