Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Umeambiwa Chunguza kwa nini kuna kadhia badala yake unashambulia wanaokushauri uchunguze?Sikio La Kufa Halisikii Dawa
Eanamdanganya......ili aaibike ....filatu fikubwa sanaaa kwakeeeeAmeota mapembe
Ni rahisi sana kuwazodoa watu na kuwaambia waache kukufuatilia, hata kama wanachosema ni cha kweli.Umeambiwa Chunguza kwa nini kuna kadhia badala yake unashambulia wanaokushauri uchunguze?
Hii bado sijaielewa vizuri imekaaje
Ndivyo inavyoeleweka.Ni rahisi sana kuwazodoa watu na kuwaambia waache kukufuatilia, hata kama wanachosema ni cha kweli.
Tuongeze MkiaAmeota mapembe
Akaombe misaada Urusi, huyu mama ni katili haswaIngawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
Yeye ni mhusika na kadhiaUmeambiwa Chunguza kwa nini kuna kadhia badala yake unashambulia wanaokushauri uchunguze?
Hii bado sijaielewa vizuri imekaaje
Yes,Ingawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
Hivi wiki ijayo haendi New York?Aliongea kwa kupanic sana huyo mama, anawavimbia wakati kila leo anapita na bakuli lake kuomba omba huko kwao
Umenikumbusha mbali, amekula ya ndama ameota mapembe. Shopping za US zitahamia DUBAITuongeze Mkia
Acha kua na fikra za kitumwa wewe,hakuna nchi ambayo hua inataka kuingiliwa kwenye internal affairs zake.Hivi wiki ijayo haendi New York?