Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
Ingawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
Wao enyewe USA wamewatesa sana raia wao waliokuwa wanaipinga Isreal. Mbona tulikaa kimya?Ni rahisi sana kuwazodoa watu na kuwaambia waache kukufuatilia, hata kama wanachosema ni cha kweli.
Amekula ya mbuziAmeota mapembe
Ingawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
It was unnecessary statement. Sijajua what was going on in her mind as she was giving this speech. Ushuari wao ulilenga kusisitiza umuhimu wa kutafuta ufumbuzi na kukomesha haya mambo, ili mambo yasije kuharibika zaidi hapa katikati kama mzee wa Msoga alivyokuwa ametahadharisha huko nyuma.Ameota mapembe
Ukweli gani nyie mnatumika? Aliwapa nafasi ya kufanya siasa za kustaarabu mkaanza Kuhubiri chuki,migawanyoko,kutukana na Sasa mumeona haitoshi eti mnataka mumtoe madarakani Kwa maandamano,thubutu.I love this game.
Sisi tunaomweleza ukweli ili achukue hatua ndo anatuwonda usiku na mchana.
Sasa kagusa kwa magangwe wa dunia.
Soon ataanza kuisoma namba
Waliwatesa je hebu tufafanulie. Kule kila mtu anao uhuru wa kuandamana kuelelezea hisia zake, na hili lilikuwa linafanyika kwa makundi yote hdi leo, wale pro-Israel na wale against, akiwemo wabunge kama akina Ilhan Omar na wenzake. Sisi huku tunaogopa vivuli vya maandamano.Wao enyewe USA wamewatesa sana raia wao waliokuwa wanaipinga Isreal. Mbona tulikaa kimya?
Endelea kuimba imba kipumbavu hapa wakati boss wako anaandaliwa chumba the Hague.Ukweli gani nyie mnatumika? Aliwapa nafasi ya kufanya siasa za kustaarabu mkaanza Kuhubiri chuki,migawanyoko,kutukana na Sasa mumeona haitoshi eti mnataka mumtoe madarakani Kwa maandamano,thubutu.
Ukimya wa Rais sio ujinga au udhaifu ,watch out.
😆😆😆😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣Endelea kuimba imba kipumbavu hapa wakati boss wako anaandaliwa chumba the Hague.
Utanizodoa uwezavyo, lakini ndo mshakanyaga waya.
Sisi tutaendelea kupiga kelele msituteke na kutuua. Wewe endelea kusema huo ni uongo.
Ingawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
Kweli kabisa mkuuAnachofanya Rais wetu ni kama mtu mpenda urembo lakini hajui matumizi ya kioo. Kioo kina kupa tashwira halisi ya ulivyo na urekebishe wapi. Sasa ukiona kasoro zako katika kioo badala ya kurekebisha unakivunja eti kinakukosea huo sasa uitweje?l
Ndivyo wavionavyo vyama vya upinzani, badala ya kuvitumia kama kioo kuona uchafu wao wanaona ni maadui zao
Samia ni muoga.anawaogopa wakuu wake wa vyombo vya usalama. Alitakiwa atoe kauli MOJA."wanaohusika na kifo cha kibao wakamatwe wapelekwe mahakamani mkishindwa nitaanza na nyie"It was unnecessary statement. Sijajua what was going on in her mind as she was giving this speech. Ushuari wao ulilenga kusisitiza umuhimu wa kutafuta ufumbuzi na kukomesha haya mambo, ili mambo yasije kuharibika zaidi hapa katikati kama mzee wa Msoga alivyokuwa ametahadharisha huko nyuma.
Jiteteeni tu. Hata issue ya meli zilizokuwa registered Zanzibar na kuanza kukwepa sanctions iliyowekea North Korea mlisema sana kwa majidai. Eti hatuingiliwi, nchi huru etc. Kupigwa pini kidogo tu mkaufyata mkia.Ukweli gani nyie mnatumika? Aliwapa nafasi ya kufanya siasa za kustaarabu mkaanza Kuhubiri chuki,migawanyoko,kutukana na Sasa mumeona haitoshi eti mnataka mumtoe madarakani Kwa maandamano,thubutu.
Ukimya wa Rais sio ujinga au udhaifu ,watch out.
www.google.com
Ukishazoea kula nyama siku ukija kula ya mtu utasema nayo tamuUmeambiwa Chunguza kwa nini kuna kadhia badala yake unashambulia wanaokushauri uchunguze?
Hii bado sijaielewa vizuri imekaaje