Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

Yes,
ile Ilikua ni hotuba kwa dunia nzima.

It was very powerful speech by head of state to the international community and entire world 🐒
Powerful speech, wakati wewe nchi yako ni maskini ombaomba kutwa kucha kulia lia kuomba misaada ya haohao anaojifanya kuwakoromea..!!

Kuna mahali wakiminya mtabaki kulia lia njaa tu.
 
Powerful speech, wakati wewe nchi yako ni maskini ombaomba kutwa kucha kulia lia kuomba misaada ya haohao anaojifanya kuwakoromea..!!

Kuna mahali wakiminya mtabaki kulia lia njaa tu.
Tanzania hakuna umasikini gentleman, ni hiyo dhana tu ambayo nawe imekuzonga. But kua maskini wa fikra au mali Tanzania ni uamuzi wako ..

kuna fursa za kila aina kujikwamua katika hali hiyo gentleman ..

na ndio maana kama Taifa, kupitia Rais wetu kipenzi cha wananchi wote Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan,

amavionya vyama vya siasa, taasisi za kiraia na watu binafsi, wanaokusudia kuhatarisha, kuharibu au kuvuruga Umoja, amani na utulivu wa waTanzani kwamba hatavumilia kuwachukulia hatua kali sana na kuwadhubiti kwa gharama yoyote ile...

na zaidi yoyote,
ameyaonya mataifa yote yenye uwakilishi humu nchi, kuzingatia sheria za Kimataifa na mkataba wa ustaarabu wa kidiplomasia na sio kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu au kuelekeza namna ya kushughulika na masuala ya ndani ya nchi yetu 🐒

kama Taifa hatuishi kwa misaada na wala hatuna haja ya msaada wowote kwa Lazima au hiyari ya yeyote....
 
Tanzania hakuna umasikini gentleman, ni hiyo dhana tu ambayo nawe imekuzonga. But kua maskini wa fikra au mali Tanzania ni uamuzi wako ..

kuna fursa za kila aina kujikwamua katika hali hiyo gentleman ..

na ndio maana kama Taifa, kupitia Rais wetu kipenzi cha wananchi wote Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan,

amavionya vyama vya siasa, taasisi za kiraia na watu binafsi, wanaokusudia kuhatarisha, kuharibu au kuvuruga Umoja, amani na utulivu wa waTanzani kwamba hatavumilia kuwachukulia hatua kali sana na kuwadhubiti kwa gharama yoyote ile...

na zaidi yoyote,
ameyaonya mataifa yote yenye uwakilishi humu nchi, kuzingatia sheria za Kimataifa na mkataba wa ustaarabu wa kidiplomasia na sio kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu au kuelekeza namna ya kushughulika na masuala ya ndani ya nchi yetu 🐒

kama Taifa hatuishi kwa misaada na wala hatuna haja ya msaada wowote kwa Lazima au hiyari ya yeyote....
Wewe ni kichwa maji kabisa.

Eti hatuna haja ya misaada, Wakati hata SGR yenyewe imejengwa kwa mikopo na misaada.

Halafu wapumbavu machawa kama wewe unasema hatuishi kwa misaada...!!

Damn fool..

Huko kichwani mwako kumejaa matope..
 
Wewe ni kichwa maji kabisa.

Eti hatuna haja ya misaada, Wakati hata SGR yenyewe imejengwa kwa mikopo na misaada.

Halafu wapumbavu machawa kama wewe unasema hatuishi kwa misaada...!!

Damn fool..

Huko kichwani mwako kumejaa matope..
🤣🤣 kwahiyo sasa wewe kichwa matope, mkopo ni msaada? dah🤣

punguza mihemko na makasiriko bas kwenye mambo ya msingi kamanda 🐒
 
Huko Lebanon pages na Radio call zimelipotiwa kulipuka. Hao wanaovimbiwa ndio watengenezaji wa ndefu anazotumia Raisi wetu. Sasa yeye aendee tu kuwavimbia wakati sisi hata kutengeneza vitu vyetu wenyewe vya mawasiliano bado…
Kama anajipenda, awanyamazie tu, hawa mane Eri wana Njina Nyingi sana na wanapenda Sana show za kulipa visasi…watajua cha kufanya tu wakiudhika…
Hatutishwi na vibaraka Wala beberu wao.

South America yote wanawakoromea US Kuna Cha maana amewahi kufanya?

Harafu mtu dhaifu ndio ataogopa Kufa wakati mwisho wa siku atakufa 😆😆
 
Issue sio kupangiana issue is to do the right thing..., ila kwa busara zetu fupi badala ya kutatua tatizo, tatizo limeongezwa bila sababu yoyote..., LAKINI, thinking again huenda hii ni prelude..., sababu ipo na huenda ikawa ni ile tune ya kuwalaumu so called mabeberu kwa lolote litakalotokea..., Ndio maana binafsi I hate Politizing issues (mara nyingi is to hide incompetence)
 
MWANAMKE MPUMBAVU TENA MWENYE LAANA UVUNJA NA KUANGAMIZA NYUMBA YAKE NA MAISHA YAKE NA FAMILIA YAKE KWA MIKONO YAKE MWENYEWE ...WATU MNAO SHANGAA MATENDO YA HUYO MJALAANA TATIZO LENU NI KAMA TATIZO LA WAPUMBAVU WA CHADEMA 👉THEY UNDER ESTIMATE THE STUPIDITY OF STUPID LEADER...
KANUNI INASEMA
*Professor mpumbavu ni hatari kuliko mtu asije na elimu.
*Kiongozi mpumbavu ni hatari kuliko machinga mpumbavu.

NA MIMI KWA KUYAJUA HAYA ...NILIWAAMBIA WAPUMBAVU WANAO DANGANYIKA KUWA CHINI YA SAMIA WATAPATA KATIBA MPYA ILIYO YA HAKI NA NJEMA NIKAWAAMBIA KUWA ILIKUWA RAHISI KUPATA KATIBA YA HIVYO CHINI YA JPM KULIKO SAMIA WATU WAKANIONA MIMI NI MPUMBAVU .
 
Chawa wewe hata ukiambiwa ulambe anus ya kiongozi utalamba.

Kutwa kucha kusifia upumbavu.
gentleman relax bana ukweli ndivyo ulivyo..

huna haja kuporomosha matusi kwasabb hiyo ni useless kwenye hoja muhimu sana kama ilivyowekwa mezani..

au umefikia ukomo wa fikra mpya umebaki na mihemko na matusi tu 🤣
 
Back
Top Bottom