Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

gentleman relax bana ukweli ndivyo ulivyo..

huna haja kuporomosha matusi kwasabb hiyo ni useless kwenye hoja muhimu sana kama ilivyowekwa mezani..

au umefikia ukomo wa fikra mpya umebaki na mihemko na matusi tu 🤣
Unaishi kwa mikopo na misaada halafu unajitutumua hatuishi bila misaada..!!

Wakati kutwa kucha kiongozi wenu kiguu na njia kutembeza bakuli kuomba misaada na mikopo.

Halafu unatamba eti, Hatuishi misaada.

Mwendokasi yenyewe imewashinda kuiendesha, kwanza wachina ndio wanasaidia kujenga kwa sababu mna upumbavu wa milele.

Hamuwezi kufanya chochote kwenye dunia hii, Zaidi ya uchawa na kujipendekeza.
 
Anachofanya Rais wetu ni kama mtu mpenda urembo lakini hajui matumizi ya kioo. Kioo kina kupa tashwira halisi ya ulivyo na urekebishe wapi. Sasa ukiona kasoro zako katika kioo badala ya kurekebisha unakivunja eti kinakukosea huo sasa uitweje?l
Ndivyo wavionavyo vyama vya upinzani, badala ya kuvitumia kama kioo kuona uchafu wao wanaona ni maadui zao
Ikulu, ma v8 yale na masalary makubwa mixer bonus za michongo mingi weee patamu hapo hawawezi kukubali kiurahisi. Uroho usha waingia
 
Issue sio kupangiana issue is to do the right thing..., ila kwa busara zetu fupi badala ya kutatua tatizo, tatizo limeongezwa bila sababu yoyote..., LAKINI, thinking again huenda hii ni prelude..., sababu ipo na huenda ikawa ni ile tune ya kuwalaumu so called mabeberu kwa lolote litakalotokea..., Ndio maana binafsi I hate Politizing issues (mara nyingi is to hide incompetence)
Nani anaepima kwamba hii ni right au sio right? Ni Beberu USA?
 
Acha kua na fikra za kitumwa wewe,hakuna nchi ambayo hua inataka kuingiliwa kwenye internal affairs zake.
Hao US si ndio wanatoa silaha zinazoua Wanawake na watoto huko Gaza? kwanini wasijirekebishe wao kwanza?

Sjaongea kwa ushabiki wa kisiasa coz mimi hua sibishani mambo ya kisiasa hapa bali nimeongelea uhalisia.
😍
 
Kichwani mwake kumejaa uroda wa nyege.

Cc: Mbaga Jr Poor Brain Lamomy
Hili jamaa Tlaatlaah hovyo kabisa.

Linaishi kwa mikopo na misaada halafu lina jitutumua eti, Hatuishi kwa misaada.

Wakati hata SGR yenyewe ya hapo Tz imejengwa kwa kuunga unga.

Bakuli limetembezwa kimataifa haswa kuomba michango.
 
Back
Top Bottom