Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

Aliongea kwa kupanic sana huyo mama, anawavimbia wakati kila leo anapita na bakuli lake kuomba omba huko kwao
kila taifa duniani linaomba mikopo na ia lipa rais wetu anaomba mikopo na analipa yote hiyo anayoomba ingekuwa ni misaada tu wanatoa basi tungekuwa matajiri sana lakini ile ni mikopo kwahiyo HAWAWEZI KUTUENDESHA KIRAHISI NAMNA HIYO NA TUWAOGOPE KISA WANATUKOPESHA NEVER HAKUNA RAIS LEGELEGE WAHIVYO ANAYEWEZA KUVUMILIA MANENO YAO LAZIMA WAPEWE UKWELI hii ni nchi huru haiwezi kuwa inapangiwa mambo ya kufanya
 
Mbona tuko on right track? Kwani Kuna shida gani?
Right Track ? Kifo cha mtu yoyote kwa kuuwawa sio right track (should never happen in the first place) watu kutokuwa na imani na polisi (rightly or wrongly) sio right track ni the road to anarchism.., sasa how did we get here ? Huwezi kuniambia the People in Power hawahusiki atleast kuhakikisha kwamba hapa tulipo sasa tusingefika... Narudia huu sio muda wa kurushiana vijembe ni muda wa kuomboleza na kuangalia wapi tumekosea ili turekebishe...
 
Acha kua na fikra za kitumwa wewe,hakuna nchi ambayo hua inataka kuingiliwa kwenye internal affairs zake.
Hao US si ndio wanatoa silaha zinazoua Wanawake na watoto huko Gaza? kwanini wasijirekebishe wao kwanza?

Sijaongea kwa ushabiki wa kisiasa coz mimi hua sibishani mambo ya kisiasa hapa bali nimeongelea uhalisia.
Chawa plus plus
 
Unaishi kwa mikopo na misaada halafu unajitutumua hatuishi bila misaada..!!

Wakati kutwa kucha kiongozi wenu kiguu na njia kutembeza bakuli kuomba misaada na mikopo.

Halafu unatamba eti, Hatuishi misaada.

Mwendokasi yenyewe imewashinda kuiendesha, kwanza wachina ndio wanasaidia kujenga kwa sababu mna upumbavu wa milele.

Hamuwezi kufanya chochote kwenye dunia hii, Zaidi ya uchawa na kujipendekeza.
make sure unarejesha marejesho ya mikopo yako kikoba kwa wakati kuepuka faini na hayo ndiyo maisha..

sisi tunakwenda sana duniani kote kama Taifa, kutafuta fursa za elimu na biashara kwa waTanzania, kama ambavyo mataifa ya dunia nzima wanavyofanya na wengine wanakuja kwa kumiminika nchini kutafuta fursa na hata wakitaka mikopo tutawakopesha vile vile kulingana na mahitaji yao na uwezo wetu...

hayo mengine sijui mwendokasi na mengineyo,
ni mambo ya kawaida mradi unaendelealea kutoa huduma vizuri licha ya dosari na kasoro ndogo ndogo ambazo zinashughulikiwa na mamlaka husika usiku na mchana 🐒
 
Acha kua na fikra za kitumwa wewe,hakuna nchi ambayo hua inataka kuingiliwa kwenye internal affairs zake.
Hao US si ndio wanatoa silaha zinazoua Wanawake na watoto huko Gaza? kwanini wasijirekebishe wao kwanza?

Sijaongea kwa ushabiki wa kisiasa coz mimi hua sibishani mambo ya kisiasa hapa bali nimeongelea uhalisia.
Kwa sababu wao wanaua na sisi tuue ?
 

Attachments

  • IMG-20240919-WA0006.jpg
    IMG-20240919-WA0006.jpg
    33.3 KB · Views: 2
Acha kua na fikra za kitumwa wewe,hakuna nchi ambayo hua inataka kuingiliwa kwenye internal affairs zake.
Hao US si ndio wanatoa silaha zinazoua Wanawake na watoto huko Gaza? kwanini wasijirekebishe wao kwanza?

Sijaongea kwa ushabiki wa kisiasa coz mimi hua sibishani mambo ya kisiasa hapa bali nimeongelea uhalisia.
Umeelewa swali la Nyani Ngabu?
 
Back
Top Bottom