Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Hujibu ulicho ulizwa Unajibu usivyo ulizwa.huenda una njaa sana ndio maana iko tabu kidogo kwenye ufahamu na uelewa kwenye jambo hili muhimu kwa maslahi mapana ya Taifa 🐒
Aliyekwambia nina njaa ni nani?
Wewe ndio mwenye njaa, Wewe ni chawa kutwa kucha kujipendekeza na kusifia viongozi wako wajinga angalau wakupe chochote kitu, ili uweze kuishi.
Na viongozi wenu ndio njaa kali kila mara kwenda kwa wazungu kulia lia shida kutaka mikopo na misaada.