Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

Huna akili ya kuelewa mfano niliotoa hivyo Hata sishangai kurudi na ujinga ule ule kama awali. Mtoto mgongoni anahitaji msaada achana na hayo ya kuingiliwa kwanza, na tunatofautishaje kuingiliwa na kuulizwa/kushauriwa? Kikubwa ni je kweli Mtoto anaanguka? Au ni mpaka yule anayeruhusiwa kukuingilia atakapokuuliza ndio utageuka kurekebisha kanga iliyomfunga mtoto mgongoni?
Ndio maana nakwambia kua mfano wako hauna maana,
Mtu ambaye silaha zake zinaua maelfu ya watoto huko Gaza,anapata wapi uchungu wa kukwambia wewe kua mtoto mmoja uliyembeba anataka kuanguka? uwe unajipa muda kwanza wa kutafakari kabla hujaamua kupost jambo hapa JF.
 
Acha kua na fikra za kitumwa wewe,hakuna nchi ambayo hua inataka kuingiliwa kwenye internal affairs zake.
Hao US si ndio wanatoa silaha zinazoua Wanawake na watoto huko Gaza? kwanini wasijirekebishe wao kwanza?

Sijaongea kwa ushabiki wa kisiasa coz mimi hua sibishani mambo ya kisiasa hapa bali nimeongelea uhalisia.
kwa hio unashabikia utekaji na
mauaji kwa ya raia kwa coment yako hii
 
Acha kua na fikra za kitumwa wewe,hakuna nchi ambayo hua inataka kuingiliwa kwenye internal affairs zake.
Hao US si ndio wanatoa silaha zinazoua Wanawake na watoto huko Gaza? kwanini wasijirekebishe wao kwanza?

Sijaongea kwa ushabiki wa kisiasa coz mimi hua sibishani mambo ya kisiasa hapa bali nimeongelea uhalisia.
Kama amekereka sana si avunje tu uhusiano wa kidiplomasia na hizo nchi alizozilalamikia au hawezi?
Wafukuze hao mabalozi anaowalalamikia
 
kwa hio unashabikia utekaji na
mauaji kwa ya raia kwa coment yako hii
Hakuna sehemu ambayo nimesema kua nashabikia utekaji au mauaji,wala hakuna mtu ambaye ni timamu anayeweza kushabikia mambo hayo,

Point yangu ni kwamba,hakuna nchi ambayo hua inapenda kuingiliwa kwenye internal affairs zake,hilo ni jambo la kawaida kidiplomasia wala sio jambo jipya.
 
Acha kua na fikra za kitumwa wewe,hakuna nchi ambayo hua inataka kuingiliwa kwenye internal affairs zake.
Hao US si ndio wanatoa silaha zinazoua Wanawake na watoto huko Gaza? kwanini wasijirekebishe wao kwanza?

Sijaongea kwa ushabiki wa kisiasa coz mimi hua sibishani mambo ya kisiasa hapa bali nimeongelea uhalisia.
Kwa hiyo Tanzania ilipokuwa inazisaidia nchi za kusini mwa Afrika kujikomboa ilikuwa inaingilia internal affairs za nchi hizo?
 
Kwa hiyo Tanzania ilipokuwa inazisaidia nchi za kusini mwa Afrika kujikomboa ilikuwa inaingilia internal affairs za nchi hizo?
Hili swali hata mtoto wa darasa la pili hawezi kuliuliza,hivi nchi ambayo inapigania kujikomboa inakua tayari ina mamlaka kamili?

Hoja yako nitofauti kabisa na mjadala uliopo hapa au na hoja yangu.
 
Samia ni muoga.anawaogopa wakuu wake wa vyombo vya usalama. Alitakiwa atoe kauli MOJA."wanaohusika na kifo cha kibao wakamatwe wapelekwe mahakamani mkishindwa nitaanza na nyie"
Sasa yeye anawaambia fanyeni uchunguzi. Uchunguzu wagundue nini?ndo maana wenzie wana mdharau mpaka leo hawajampelekea chochote
Aanzie wapi? Yeye ndiye anawatuma!! kaishaipata kuwa hapati kura anatafuta kura kwa ncha ya upanga! Hili jini siku zake kwshney
 
Back
Top Bottom