Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

Wahi Gaza kawasaidie ndugu zako 🤣😂😂
Unaona sasa,umejificha ficha ila mwisho umeamua kujionyesha tu,ndio maana nilikwambia kua wewe ndiye uliyewaza udini,eti sijui umesomea matakataka gani huko,

Wewe kwa akili hizo itakua ulisomea ujinga tu.
 
Unaona sasa,umejificha ficha ila mwisho umeamua kujionyesha tu,ndio maana nilikwambia kua wewe ndiye uliyewaza udini,eti sijui umesomea matakataka gani huko,

Wewe kwa akili hizo itakua ulisomea ujinga tu.
Nimejionesha au nimekuweka hadharani akili zako za kutetea ujinga

wa watu kuuliwa nchini kwetu kisa Gaza. Gaza mgogoro wao unajulikana
Wewe una uhusianisha na kwetu kwa nini..
 
Huu mfano wako hauna uhusiano.

Huko Gaza ni vita baina ya nchi na nchi, anasaidia silaha kwa nchi iliyoko vitani, hateki na kuua wananchi wake mwenyewe.

Umeelewa ukengefu, upofu na upotofu wa hiyo hoja yako?
 
Huu mfano wako hauna uhusiano.

Huko Gaza ni vita baina ya nchi na nchi, anasaidia silaha kwa nchi iliyoko vitani, hateki na kuua wananchi wake mwenyewe.

Umeelewa ukengefu, upofu na upotofu wa hiyo hoja yako?
Basi hapo mwenyewe unajiona umeweka bonge la point,halafu vilaza hua mna confidence sana,huoni hata aibu kuandika ujinga wa level hii,wewe hata mtu akueleweshe kwa mwaka mzima,huwezi kuelewa,tatizo lako lipo Kichwani,hivi ulienda Shule japo kudogo tu?
 
Nimejionesha au nimekuweka hadharani akili zako za kutetea ujinga

wa watu kuuliwa nchini kwetu kisa Gaza. Gaza mgogoro wao unajulikana
Wewe una uhusianisha na kwetu kwa nini..
Wewe ni punguani kweli,ndio maana unahangaika kuja na hizo ID zako mbili ila akili ni ile ile tu,jaribu kuficha upumbavu wako kwa kukaa kimya.
 
Wanalinda Amani 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…