Nimeona hii mchana sema comments nyingi zinamuunga mkono kwenye hii habari. Mimi natazama sana hii channel hasa palki sharmaIngawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
Ooh,kumbe we ni mwana mwari(bikra) hongera kwa kujitunza bintiUmenipata bwana hapa ewe mwari....
Unaona sasa,umejificha ficha ila mwisho umeamua kujionyesha tu,ndio maana nilikwambia kua wewe ndiye uliyewaza udini,eti sijui umesomea matakataka gani huko,Wahi Gaza kawasaidie ndugu zako 🤣😂😂
Social inferenceMimi nimesoma Social Psychology naweza kuona pale ulipoishia wewe
Kwa hiyo huo ni ukweli mchungu nimekuambia ukitaka usitake.
Nimejionesha au nimekuweka hadharani akili zako za kutetea ujingaUnaona sasa,umejificha ficha ila mwisho umeamua kujionyesha tu,ndio maana nilikwambia kua wewe ndiye uliyewaza udini,eti sijui umesomea matakataka gani huko,
Wewe kwa akili hizo itakua ulisomea ujinga tu.
Exactly 💯Social inference
Huu mfano wako hauna uhusiano.Hivi watu kama wewe wenye akili nzito kiasi hicho,hua mnaendeshaje familia zenu? Mimi naongelea mtu aliyejaa damu mikononi mwake kwa kuua wanawake na watoto kisha anajifanya kukemea mauaji ya sehemu nyingine,hapa tunajadili mada ya kuingilia internal affairs ya nchi zingine,kwa mauaji yanayofanywa na silaha za US basi ni aibu kwake eti kukemea mauaji sehemu zingine,ni unafiki.
Comments ni oya oya 🔥🔥Ingawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
Mzee mzima kumbe "chatoka"....Ooh,kumbe we ni mwana mwari(bikra) hongera kwa kujitunza binti
Ooh,kumbe we ni mwana mwari(bikra) hongera kwa kujitunza binti
Basi hapo mwenyewe unajiona umeweka bonge la point,halafu vilaza hua mna confidence sana,huoni hata aibu kuandika ujinga wa level hii,wewe hata mtu akueleweshe kwa mwaka mzima,huwezi kuelewa,tatizo lako lipo Kichwani,hivi ulienda Shule japo kudogo tu?Huu mfano wako hauna uhusiano.
Huko Gaza ni vita baina ya nchi na nchi, anasaidia silaha kwa nchi iliyoko vitani, hateki na kuua wananchi wake mwenyewe.
Umeelewa ukengefu, upofu na upotofu wa hiyo hoja yako?
Naona Palki ana washabiki wa kutosha.Nimeona hii mchana sema comments nyingi zinamuunga mkono kwenye hii habari. Mimi natazama sana hii channel hasa palki sharma
Wewe ni punguani kweli,ndio maana unahangaika kuja na hizo ID zako mbili ila akili ni ile ile tu,jaribu kuficha upumbavu wako kwa kukaa kimya.Nimejionesha au nimekuweka hadharani akili zako za kutetea ujinga
wa watu kuuliwa nchini kwetu kisa Gaza. Gaza mgogoro wao unajulikana
Wewe una uhusianisha na kwetu kwa nini..
Wanalinda Amani 😜Acha kua na fikra za kitumwa wewe,hakuna nchi ambayo hua inataka kuingiliwa kwenye internal affairs zake.
Hao US si ndio wanatoa silaha zinazoua Wanawake na watoto huko Gaza? kwanini wasijirekebishe wao kwanza?
Sijaongea kwa ushabiki wa kisiasa coz mimi hua sibishani mambo ya kisiasa hapa bali nimeongelea uhalisia.
Amedanganywa vibaya sana!Umeambiwa Chunguza kwa nini kuna kadhia badala yake unashambulia wanaokushauri uchunguze?
Hii bado sijaielewa vizuri imekaaje
Wanaomshauri wao mbona wameshindwa kujishauri?Umeambiwa Chunguza kwa nini kuna kadhia badala yake unashambulia wanaokushauri uchunguze?
Hii bado sijaielewa vizuri imekaaje
Ulitegemea nani amwambie Rais wa USA achunguze? Hata UN haiweziMauaji mashuleni, sokoni marekani kila siku,waliambiwa na nani wachunguze?
Sana nimeanza kumfuatilia kabla ya kuami kwenye hiii first spot. Ana delivery fulani nzuri. Napenda flash backNaona Palki ana washabiki wa kutosha.
Kawaida sana ChiefIngawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
Hatutakaa tuweze, labda kwa miaka 250 ijayo, LABDAHakuna lolote watalotufanya, tutatimua ndugu zao wote,
Hapa kuna wahindi, wazungu, waarabu na wengine wote tutatimua kasoro wachina tu,
Ubaya ubwela