Citizen_37
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 957
- 1,124
Ingawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
Du hii sasa ni noma!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
Hawaogopi ila yeye ndio kawatuma. Lakini yeye pia nguvu yake inatoka humohumo.Samia ni muoga.anawaogopa wakuu wake wa vyombo vya usalama. Alitakiwa atoe kauli MOJA."wanaohusika na kifo cha kibao wakamatwe wapelekwe mahakamani mkishindwa nitaanza na nyie"
Sasa yeye anawaambia fanyeni uchunguzi. Uchunguzu wagundue nini?ndo maana wenzie wana mdharau mpaka leo hawajampelekea chochote
Everything is a calculated move...she is surounded by zealout think tanks who really know the depth of core issues and ongoing views and how to combat them swiftly and effectively.......Amedanganywa vibaya sana!
Utaandamania bafuni ama chooni mkuu wangu ?!! 🤣Mtu mweusi ni Kima aliyejua kupaka vaseline usoni
Wakati anawatuma ulikuwepo?!!Hawaogopi ila yeye ndio kawatuma. Lakini yeye pia nguvu yake inatoka humohumo.
Kamwe hamtoweza....Hatutakaa tuweze, labda kwa miaka 250 ijayo, LABDA
Huyo Kufa ndio nani? Nasikia sikia tu sikio la Kufa sikio la Kufa ila Kufa mwenyewe hajulikaniSikio La Kufa Halisikii Dawa
Hivi mpaka leo unaamini kuna kitu kinaitwa haki za binaadamu kwa wenzetu. Kama wanazielewa haki za binaadamu, wangeanzia huko Gaza.Yaani wewe unaona ni sawa anapoamua kuanza kuua watu asiulizwe akiulizwa anasema "asiingiliwe" ili aue na kuvunja haki za binadamu kwa raha mustarehe?
Una kichaa?
Wakati wa kuleta maendeleo anawataka,ila akianza kuua asiulizwe
Kamfanyia ukatili nani? Mtaishia matusi tu ila kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wenu, maandamano yatahamishiwa mitandaoni na sio barabarani!!! Kenge sana wew!!Akaombe misaada Urusi, huyu mama ni katili haswa
Ni ujinga kuifananisha Usa na Tanzania.Wao enyewe USA wamewatesa sana raia wao waliokuwa wanaipinga Isreal. Mbona tulikaa kimya?
Uko kichwani kwako kuna matopekama wao wanakuja na hatuwazuii kuja kwetu basi hayupo wa kutuzuia kwenda kwao pia gentleman 🐒
hakuna muujiza kwenye hili. wasipokuja kwetu, nasi hatuna haja hata kidogo kwenda kwao na wala si Lazima lakini pia si muhimu 🐒
kuna yeyote alielazimishwa kuleta chochote humu nchini kutokea huko kwao?Uko kichwani kwako kuna matope
Yaani unapinga nchi haiendeshwi kwa misaada hata kama ni ushabiki sio hivi
Condomu
Arv
Chanjo za watoto
Zote hizo tatu kwa kuanzia tunapewa misaada kama nchi alafu unasema nchi haiendeshwi kwa misaada wewe endelea na ushabiki ila huwezi pindisha ukweli
Unakalia Dole au Kidongo Chekundu?Kamfanyia ukatili nani? Mtaishia matusi tu ila kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wenu, maandamano yatahamishiwa mitandaoni na sio barabarani!!! Kenge sana wew!!
Kenge tena jamani?Kifo ni kifo tuu.Kamfanyia ukatili nani? Mtaishia matusi tu ila kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wenu, maandamano yatahamishiwa mitandaoni na sio barabarani!!! Kenge sana wew!!