Hana noleji ni mweupe kichwani atajuaje sasa?Anachofanya Rais wetu ni kama mtu mpenda urembo lakini hajui matumizi ya kioo. Kioo kina kupa tashwira halisi ya ulivyo na urekebishe wapi. Sasa ukiona kasoro zako katika kioo badala ya kurekebisha unakivunja eti kinakukosea huo sasa uitweje?l
Ndivyo wavionavyo vyama vya upinzani, badala ya kuvitumia kama kioo kuona uchafu wao wanaona ni maadui zao
Kila kwenye battle za matusi nina asilimia zaidi ya 60 lazima uwe unahusikaKwa hiyo matusi ya huyo niliyemjibu wewe hukuyaona?
Ameshaskip hiyo trip, leo alikuwa na kikao ikulu na IGP, sijui kama Mungu atakuwa amemjalia busara ya kurekebisha makosa yake au vipi?Hivi wiki ijayo haendi New York?
Hili ndio jibu la swali nililokuuliza?Kila kwenye battle za matusi nina asilimia zaidi ya 60 lazima uwe unahusika
Ningetoa maelekezo Kwa polis ndani ya wiki Moja nisisikie utekaji Tena pamoja na uchunguzi wa waliotekwa na kuujulisha umma na hatua zilizochukuliwa Kwa walifanya huo uhalifuKwani jomba ungekuwa wewe ndio Rais ungechukua hatua gani, tuanzie hapo
Mimi sijui nani ameanza ila kwenye battle za matusi you're the bestHili ndio jibu la swali nililokuuliza?
Huna akili ya kutambua,hua unaropoka tu bila hata kujua unaropoka nini,sasa utakumbukaje matusi uliyotukana na akili ya kukumbuka huna?Tusi gani nililotukana. Mimi sio mtoto wa mtaani kama wewe ambae huna
maadili. Chokoraa mkubwa wewe
Ni mtu asiyekuwa na maadili.Kila kwenye battle za matusi nina asilimia zaidi ya 60 lazima uwe unahusika
Huna akili wewe,au na hii ndio ID yako nyingine?Mimi sijui nani ameanza ila kwenye battle za matusi you're the best
Naona unajijibu kwa ID zako! Wewe ni mtu mjinga sana.Ni mtu asiyekuwa na maadili.
Kwenye kutukana unajitahidi na utafika mbali wengine hatujui kutukanaHuna akili wewe,au na hii ndio ID yako nyingine?
Mbona usiseme hilo tusi nililo kutukana. Mimi sina rekodi ya kitukana ilaHuna akili ya kutambua,hua unaropoka tu bila hata kujua unaropoka nini,sasa utakumbukaje matusi uliyotukana na akili ya kukumbuka huna?
Hiv unadhani ni uchunguzi rahisi kiasi hicho..kwani waliofanya matukio hayo unadhani hawana akili..unadhani wamekurupuka bila kuwa na plan..unadhani hawajui wakikamatwa kitakachowakuta...au unadhani Polisi ni watabiri na malaika wa kujua aliyefanya matukio...Ningetoa maelekezo Kwa polis ndani ya wiki Moja nisisikie utekaji Tena pamoja na uchunguzi wa waliotekwa na kuujulisha umma na hatua zilizochukuliwa Kwa walifanya huo uhalifu
Punguani wewe,hao watu si ndio wewe unakuja na ID zako zote.Mbona usiseme hilo tusi nililokutukana. Mimi sina rekodi ya kitukana ila
wewe watu wana shuhudia kuwa ndio tabia yako.
Kwenye kua na ID's nyingi hapa JF unajitahidi na utafika mbali,wengine tuna ID moja tu.Kwenye kutukana unajitahidi na utafika mbali wengine hatujui kutukana
Mimi id nyingi za nini sababu mimi sio mtukanaji a.k.a mporomosha matusi kama weweKwenye kua na ID's nyingi hapa JF unajitahidi na utafika mbali,wengine tuna ID moja tu.
Kawaongopee wengine,umekuja na ID nyingine ya kujisapoti ila umesahau kubadili akili yako na uwezo wa kufikiri ndio maana nimekujua tu.Mimi id nyingi za nini sababu mimi sio mtukanaji a.k.a mporomosha matusi kama wewe
Wewe ni Psychiatric Case-hallucination na delusion zinakusumbuaPunguani wewe,hao watu si ndio wewe unakuja na ID zako zote.