Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

Ha
Hana noleji ni mweupe kichwani atajuaje sasa?
 
Kwani jomba ungekuwa wewe ndio Rais ungechukua hatua gani, tuanzie hapo
Ningetoa maelekezo Kwa polis ndani ya wiki Moja nisisikie utekaji Tena pamoja na uchunguzi wa waliotekwa na kuujulisha umma na hatua zilizochukuliwa Kwa walifanya huo uhalifu
 
Tusi gani nililotukana. Mimi sio mtoto wa mtaani kama wewe ambae huna

maadili. Chokoraa mkubwa wewe
Huna akili ya kutambua,hua unaropoka tu bila hata kujua unaropoka nini,sasa utakumbukaje matusi uliyotukana na akili ya kukumbuka huna?
 
Huna akili ya kutambua,hua unaropoka tu bila hata kujua unaropoka nini,sasa utakumbukaje matusi uliyotukana na akili ya kukumbuka huna?
Mbona usiseme hilo tusi nililo kutukana. Mimi sina rekodi ya kitukana ila

wewe watu wana shuhudia kuwa ndio tabia yako.
 
Ningetoa maelekezo Kwa polis ndani ya wiki Moja nisisikie utekaji Tena pamoja na uchunguzi wa waliotekwa na kuujulisha umma na hatua zilizochukuliwa Kwa walifanya huo uhalifu
Hiv unadhani ni uchunguzi rahisi kiasi hicho..kwani waliofanya matukio hayo unadhani hawana akili..unadhani wamekurupuka bila kuwa na plan..unadhani hawajui wakikamatwa kitakachowakuta...au unadhani Polisi ni watabiri na malaika wa kujua aliyefanya matukio...
 
Huyu maza lazima atakuwa anatumia kilevi flani yaani hotuba yake ile alitoa bonge la bokoo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…