sasa mihemko huwa mnatoa wap kwa mfano gentleman? πWenye stress ni nyie njaa kali ambao kula yenu inatokana na kusifia viongozi.
Dhamira imetimia. Sasa apeleke bakuli lake akaombe.Ingawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
Huru kwa chawa na majangili ya mali za ummaTanzania ni nchi huru
Lijichawi hili lijimamaIngawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
Vizuri sana. Nao ujumbe umewafikia na kuuelewa.Ingawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
Yaani inapofika muda wa kuua watu na kuvunja human rights za watu viongozi wa Africa wanapanua madomo eti "msitupangie" cha kufanya.Ingawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
Yaani wewe unaona ni sawa anapoamua kuanza kuua watu asiulizwe akiulizwa anasema "asiingiliwe" ili aue na kuvunja haki za binadamu kwa raha mustarehe?Vizuri sana. Nao ujumbe umewafikia na kuuelewa.
Hii ndio ilikuwa nia kuu ya Rais. Hotuba haikuwa SIRI, Hivyo wale watanzania wanaofikiri watayapata maendeleo toka Ubelgiji au Marekani kwa kukubali kila kitu nao ujumbe huu unawahusu na wanajidanganya. Fungueni macho yenu!
Ninajua wewe huna uwezo wa kujadiliana na mimi.Huru kwa chawa na majangili ya mali za umma
Kwahiyo mtoto wa jirani akifi...rwa kisha akaja kuf. Rwa mtoto wako ni sawa? Kwamba kwa sababu ulikaa kimnya kwa mtoto wa jirani ndio na kwako ukae kimnya?Wao enyewe USA wamewatesa sana raia wao waliokuwa wanaipinga Isreal. Mbona tulikaa kimya?
Slams, ina maanisha nini?, Nilikimbia umandeHivi wiki ijayo haendi New York?
Huna akili,kwani nimetukana chizi wewe,
Au ujaenda shule hujui kwamba wanawake wakiwa kwenye hali fulani sometimes wanakuwa na hasira au panic,etc
. Sisi ambao tunaishi na wake zaidi ya miaka 20 sasa tunajua tabia zao, we juma lokole utajulia wapi hayo!!
Bibie unatafuta bwana kinguvu naona!!utapataHuna adabu...wewe ni makhluku tabu π€£
Ni kweli, ni mimi, ndio ninae tangaza live zote za nchi hii, na kuripoti kwenye mitandao yote ya kijamii hadi mabeberu wakaona!.Huyu atakuwa ni Pascal Mayalla ameipekeleka hii habari kwa mabeberu.
πWewe ndio huna hata akili hata za kuvukia Barabara tu,
Mfano wako ni wa kipumbavu sana,
Ungesoma comment yangu na kuielewa usingekuja kutapika haya matapishi yako,
Nilisema hakuna taifa linalotaka kuingiliwa internal affairs zake na mataifa ya nje,hao US silaha zao ndio zinaua wanawake na watoto kule Gaza,hivi wauaji wa halaiki wanapata wapi authority ya kushauri wengine? US wanafunzi waliandamana kupinga mauaji ya Gaza,wakapigwa na Polisi na wengine kukamatwa,halafu hao ndio wawashauri wengine kua waheshimu watu wanapoandamana?
Before you start pointing fingers,make sure your hands are clean,
Au na wewe umecomment tu ili usisahaulike kua umo humu JF?
Inadorora kweli yani inasikitisha wakati shilling ya Uganda inapanda.Nenda kaangalie exchange rate shilingi inavyopulia oxygen ndo utajuwa hujuwi...
Umenipata bwana hapa ewe mwari....Bibie unatafuta bwana kinguvu naona!!utapata
Huyu mama anajiumbia/kujitengenezea mauti/kifo kabla ya wakati wake bure tu....Ingawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3