Yaaa mange kapanic sana mpaka matusi.Nimesoma hiyo blog yake amekashfu sana watu weusi kuhusu hii issue alafu kuna wajinga wanamsifia amejibu vizuri na inaonyesha ana tatizo la kupanic
Huu uzi una maisha mafupi sana huwa zikimgusa huyo dada zinaondolewa faster
Nimesoma hiyo blog yake amekashfu sana watu weusi kuhusu hii issue alafu kuna wajinga wanamsifia amejibu vizuri na inaonyesha ana tatizo la kupanic
Huu uzi una maisha mafupi sana huwa zikimgusa huyo dada zinaondolewa faster
Aisee wanaweke mna roho nyeusi mnapoona mwenzenu anafanikiwa acheni roho mbaya na wivu alaa
Shoga hiki kigodoro nlianza nacho toka usiku...nikaenda kwa sinta nikakuta bado hajaamka...
Asubuhi nimedamkia kule bologini kwake...yani amejibu pumbaaa...halafu anavyoikandia ngozi nyeusi sasa...sijui anaona kaolewa na albino na yeye kashakua albino...lol
Umbea nao uwito mwenzangu....
Shoga hiki kigodoro nlianza nacho toka usiku...nikaenda kwa sinta nikakuta bado hajaamka...
Asubuhi nimedamkia kule bologini kwake...yani amejibu pumbaaa...halafu anavyoikandia ngozi nyeusi sasa...sijui anaona kaolewa na albino na yeye kashakua albino...lol
Umbea nao uwito mwenzangu....
Mange kosa lailofanya ni kutosubiri response tu kutoka kwa tribela baaas mengine kawaida.
Sema tu hapa tunashadadia kwa mambo yake ya kutukana watu na leo zamu yake.
Shogangu Niwekee screen shots ya blogini kwake mie leo inakataa kufunguka.
Umbea kweli wito
Kwani yeye ni mzungu hadi akandie weusi anachekesha kweli.yeye hajiona wale wamemzidi ujanja chezea wa naija anafikiri shule ni ujanja ndo hvo biadhara sijui itakuwaje mwenyewe kapanikije
Shoga angu natumia mchina...mbona ningekuwekea...
Halafu ile misukule yake sijui anailisha pumba za wapi....inamteteaje...? full kumpa moyo....
Shogangu wapenda umbea vitendea kazi huna. Heaven on Earth niwekee shapmshot kwa mange.
He he bibie kapanic matusi kibao.
Shogangu wapenda umbea vitendea kazi huna. Heaven on Earth niwekee shapmshot kwa mange.
He he bibie kapanic matusi kibao.
Shogangu wapenda umbea vitendea kazi huna. Heaven on Earth niwekee shapmshot kwa mange.
He he bibie kapanic matusi kibao.
Comnent ya supplier
Shogangu wapenda umbea vitendea kazi huna. Heaven on Earth niwekee shapmshot kwa mange.
He he bibie kapanic matusi kibao.