TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
Hivi chagababi anafanya kazi gani mjini??????
Shosti hata naelewaga basi... mi daily namuona na mishemishe za mapicha kwenye restaurants tu. Kuna comment nimeona amesema anafanya kwenye healthcare mange aende akapate ajira asampliment kipato cha mzungu na wapunguze madeni