Hivi chagababi anafanya kazi gani mjini??????
We si hutaki kuniunganisha na waheshimiwa first class....
Mjini msingi nanihii...sasa mwenzio mtaji nimeukalia...lol
Halafu huu umbea ulinipita
Mange kosa lailofanya ni kutosubiri response tu kutoka kwa tribela baaas mengine kawaida.
Sema tu hapa tunashadadia kwa mambo yake ya kutukana watu na leo zamu yake.
Haya jisomeee
Yap
Na ndio ajifunze
Siku nyingine ahakikishe ana go ahead ndio aanze matangazo....
Shosti hata naelewaga basi... mi daily namuona na mishemishe za mapicha kwenye restaurants tu. Kuna comment nimeona amesema anafanya kwenye healthcare mange aende akapate ajira asampliment kipato cha mzungu na wapunguze madeni
Shogangu we baki hapo hapo kwa wameshimiwa tunakufa na tai shingoni oesa ipo ila ndo kupangwa watu kama 200 he he he.
Best huko insta nimeamkia leo.
Kwa mange nso inagoma kugunguka.
Hehe mpaka lb leo kaweka public file lake.
Yap
Na ndio ajifunze
Siku nyingine ahakikishe ana go ahead ndio aanze matangazo....
Shosti hata naelewaga basi... mi daily namuona na mishemishe za mapicha kwenye restaurants tu. Kuna comment nimeona amesema anafanya kwenye healthcare mange aende akapate ajira asampliment kipato cha mzungu na wapunguze madeni
We si hutaki kuniunganisha na waheshimiwa first class....
Mjini msingi nanihii...sasa mwenzio mtaji nimeukalia...lol
Heheheheh
Hawa chaga na mange labda walichukuliana mabwana....
Maana sioni cha maana.
Hivi chaga si ndo alijuwa na mr kibamia prezo? Au nimemix majina????
Umbea umekolea huuu....
Umbea umekolea huuu....
Hahaha...tupo hata humu
Kachambwa hadi kajisahau kama yeye mweusi....
Chezea michambo ya kizaramo wewe....
Shosti hata naelewaga basi... mi daily namuona na mishemishe za mapicha kwenye restaurants tu. Kuna comment nimeona amesema anafanya kwenye healthcare mange aende akapate ajira asampliment kipato cha mzungu na wapunguze madeni
Sema haki ya Mungu....