aah ok.. ofcoz sio kila mtu unamfanyia ujingaa tuuHapana hakikunuka, maana hakukuwa na ukweli wowote ule.
Ila jamaa sasa aliiona sura halisi ya kitu kinaitwa DOLA.
Choose your enemies wisely.......
Watu walkinyanduana faragha kuna tatizo gani?Nakazia.
Watu waache umalaya na kunyanduliwa/kunyandua kama mbuzi.
Ila kweli, Mange anaumiza hisia na haiba za watu lol.Hivi ni mimi tu sijajua/ kuona hicho kinacho zungumziwa kwa Irene au kuna wenzangu pia? Tujuane aisee....
Huyu Dada wakuitwa Mange ni anavuka mipaka sasa....
Watu anaowachafua nafikiria wangekuwa ndugu zake angeweza kufanya hivyo?
Anyway! Siku zote kichaa anachekesha ikiwa hatokei familia yenu/yako..
Sasa watu wapo faragha huyo anayerokodi anatokea wapi kama sio mmoja wao ni malaya?Watu walkinyanduana faragha kuna tatizo gani?
Tatizo ni kujirekodi au kurekodiwa na ikasambazwa makusudi. Huu ni ushamba
sema binadamu TUNASAHAU.. iko wapi ya menina au nandy si wapo wanasongaa ma maishaaIla kweli, Mange anaumiza hisia na haiba za watu lol.
Mange sasa hivi sijui kawaje?Ila kweli, Mange anaumiza hisia na haiba za watu lol.
Kabisaaaa, kwa Bongo hapa ikipita week tusha sahau.sema binadamu TUNASAHAU.. iko wapi ya menina au nandy si wapo wanasongaa ma maishaa
Sahivi hana kazi, ndo App yake inampa heka heka.Mange sasa hivi sijui kawaje?
Alilewa sifa za Insta....enzi za JPM....
kasema matatizo yetu na serikali hayamuhusuu π π πSahivi hana kazi, ndo App yake inampa heka heka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inatokeaje wakati sijirekodi, wala sirekodi mtu?Ukikuta connection yako kwenye App yake utakuja kufuta hii comment huku kamasi zinakutoka
Mbona kafubaa?yaah kwa mwezi hakosi mil 200 yule... na siku hizii hafuti connection
Hitmen huko aliko mbona wengi tu na si ghali...hajakanyaga pabaya bado,Ila unaweza tafuta ndugu zake huku ukawashughulikia....mchuma janga hula na wa kwaoKwa hiyo kumbe wanamlea
π π π π πuandhani yeye falaa awatambishie watu wapate ushahidi wa kumsueMbona kafubaa?
Yule awe na hela asiwatambishie watu?
Kuanzia laki mpk 3m analipaAlipa bei gani ukimpa connection?
Watu wasijirekodi kisa mange!!!?..ana ndugu huku,wajomba,baba wadogo nk,hao ndo wa kusema naoConnection zinaondoa stress. Acheni kujichukua video na App ya Mange itakufa yenyewe tu. Ukikata mirija ya connection baaaasi. Dawa ni kutojirecord so Mange atakosa raw marterials na kiwanda chake kitakufa.
Afikishe Mara ngapi?Ana pesa mange Sasa hivi vibaya mnooYule manzi serikali haina kosa tena maana ishafungia APP yake mpaka uwe na VPN.... ila ndo hivyo wadau wa kupenda udaku na zile ponoo wanalipaa mahelaaa tuuu...!! yule manzi ikipita mwaka na ile app kama hajafikisha mil 200 cash aisee kuna mkono wa mtuu...
Sahihi kabisaaa umemalizaConnection zinaondoa stress. Acheni kujichukua video na App ya Mange itakufa yenyewe tu. Ukikata mirija ya connection baaaasi. Dawa ni kutojirecord so Mange atakosa raw marterials na kiwanda chake kitakufa.