Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

Km ni hvyo atakua mpuuzi Waheed Ila mi ht sishangai acha inyeshe tujue panapovuja
 
aristote kakimbiaa aisee... sema ile puss ni ya viwango aisee kitu ka cha mtoto... aristoteeeeeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Ila mtu ambae baba yake alifanyiwa ufirauni, akadhalilika kiasi kile unadhani ana utu,, hana Cha kupoteza anahisi kwa kufanya hivyo anapunguza machungu ya kile alichotendewa baba yake mpk akajiua
Wht happened mpaka mzee akafanyiwa namna hiyo
 
Mi pia nishajiunga siwi muongo,Ila hapa kati sijajiunga kwa kua Nina Mambo mengi
 
Hapana hakikunuka, maana hakukuwa na ukweli wowote ule.
Ila jamaa sasa aliiona sura halisi ya kitu kinaitwa DOLA.
Choose your enemies wisely.......
Alifanyiwa nini na alisambaza nini
 
Maisha yalivyo magumu itafika mahala wahusika wa mahusiano wenyewe watajichukua connection wamtumie ili wapate chochote kitu


Mungu tunusuru
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38]daahhh
 
Ila mtu ambae baba yake alifanyiwa ufirauni, akadhalilika kiasi kile unadhani ana utu,, hana Cha kupoteza anahisi kwa kufanya hivyo anapunguza machungu ya kile alichotendewa baba yake mpk akajiua
Upo sahihi,
Ana Mental Disorder iliyotokana na Trauma ya alichokishuhudia kwa Baba ake na Ndoa yake ilivyovunjika kwa kubebewa Mume na Shoga ake ndio alitaka kuwehuka kabisa, ila aliufyata maana Marekani sio Bongo ati
 
Thank you,
Yule Dada ni kama aliwekewa Drugs ili adhalilishwe vile maana alikua hajitambui lakini bado Watu hawaoni hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…