ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
- Thread starter
-
- #181
- Ina maana na wewe ni mpumbavu maana haiwezekani ukatoa mishipa na mapovu na wewe sio mpumbavu hahahaha
le Mutuz
Hili jambo limeshafika kwa Wahusika Sahizi lipo kisheria linasubiri sheria ifuate Mkondo wake
Mbona wewe mwenzetu huko instagram hutulii kila siku kila leo wewe Ni kupost kuhusu kumtetea Dr Mwaka na kumponda Naibu waziri unataka aombe hadi radhi akati jambo bado halija amliwa kisheria hivi wewe ni nani Hadi uwe juu ya sheria
Mbna muhusika kakaa kimya lakini wewe kila siku ni kumtetea kwanini usisubiri Maamuzi yafanyike ndo uje uandike yale unayo yaandika Boy are u serious kweli?
Wewe ni Msomi kweli? Kumbuka mambo ya kisheria hayanaga siasa wala urafiki unaijua RULE OF LAW vizuri kweli? Mbona kama unamlazimisha Naibu waziri kuharakisha kuchukua Maamuzi Akati bado analishughulikia?
Hebu acha hiyo kitu wewe ni mtu mzima bhna kaa mbali na sheria acha viongozi wafanye kazi ake
dr mwaka anamambo...eti anatoa dawa ya kufanya down there kwa mwanamke kuwe na utamu..jaman si kufuru hii, kuumba aumbe Mungu. utamu aweke mwingine....
Amegeuza nyeti za watu kama mboga yaani unaunga tu utakavyo mara makokwa ya embe mara vitunguu swaumu sikutaoza sasa.....ile kitu inautamu naturally jamani nimesikitishwa sana
dr mwaka anamambo...eti anatoa dawa ya kufanya down there kwa mwanamke kuwe na utamu..jaman si kufuru hii, kuumba aumbe Mungu. utamu aweke mwingine....
dr mwaka anamambo...eti anatoa dawa ya kufanya down there kwa mwanamke kuwe na utamu..jaman si kufuru hii, kuumba aumbe Mungu. utamu aweke mwingine....
huwezi shindana na mtu mwenye degree 3, u know haaa haaa, i'm humbled.
dr mwaka anamambo...eti anatoa dawa ya kufanya down there kwa mwanamke kuwe na utamu..jaman si kufuru hii, kuumba aumbe Mungu. utamu aweke mwingine....
Huyo mzee msameheni , ukishamjua mbona hakupi shida .Degree 3 analamba viatu watu wenye certificate za google.Afu huyu Le Mutuzi Sijui Yupo Jambo lipo Serikalini Linasubiri Sheria ifuate Mkondo wake Lakini yeye hatulii kila siku kila Leo lazima Apost kitu kinacho husu Kumtetea Dr mwaka Hapa ndo naamini kuwa kalipwa
Sahizi anataka Naibu waziri aombe msamaha yeye ni nani Hapa nchini kwanini Asisubiri sheria ifuate mkondo wake?
heheh labda yeye anaubusti tu huo utamu
Hahahahhahaha
uknw wewe ni genious..
Uknw akili ndogo wana hangaika kudhani ni mimi uknw...
Uknw watu wachache wenye akili kubwa kama wewe ndio wanaweza kujua haya!
Uknw wewe ni akili kubwa kama mimi lazima nikupe zawadi nina sinu nilipewa na huwawei tukutane double tree nikupe..
Uknw..mimi ni mtu maarufu sana na leo hii kupitia hii post nimepata deal la pesa..
Uknw nawashukuru sana..
hahahahahaha !
le big show..
Teh teh teh Mbona kama unakuwa Mwongo Sana!
Leo wewe wakusema Humfaham Mange? hujui hata aliko kwa sasa?
Unakumbuka ile siku Mange kakamatwa na polisi uliandika nini kwenye ukurasa wako wa Instagram?
Unakumbuka ulitwambia ulienda kumuona pale kituoni?
Unakumbuka ulitwambia mpo mnashughulikia swala la kumuwekea dhamana ili atoke na ukatuahidj kupitia ukurasa wako wa instagram kuwa ukikamilisha utakuja kulizungumzia hio kitu
Baada yake ulikuja na kusema kuwa Watu wengi wamekushauri usizungumzie ile ishu
Unakumbuka baada ya ushindi wa CCM katika uchaguzi mkuu ulipost nini kuhusu Mange na kumpa sifa kibao
SWALI: JE unawezaje kufanya hayo yote kwa mtu usiemfaham? usie jua hata wapi anaishi? usie jua hata wapi alipo sasa?
- Nonsense kwenye my Social Media outlets unajua ninapost habari za watu wangapi ambao siwajui wala sijawahi kuwaona? I mean wewe ni mzima kweli? Yaani watu wanapo post watu kwenye Social Media ni kwa sababu wanawajua? hahahahaha mburulazzzzzz
le Mutuz
Hahahhahahahahahha mkuu umejivisha uhalisia utafikiri ni mwenyewe le akili kubwa.
Unanivunja mbavu huku kwa kicheko. Haya maisha ya kupambana na akina Mange huko instagram yatamgarimu jamaa big time.