Mange Kimambi vs Le Mutuz katika Beef Zito kisa Dr. Mwaka

Status
Not open for further replies.
- Ina maana na wewe ni mpumbavu maana haiwezekani ukatoa mishipa na mapovu na wewe sio mpumbavu hahahaha

le Mutuz

Unamuhukumu Naibu waziri kwa kusikiliza mtu wa instagram Kweli? Katika dunia ya sahizi ya utandawazi unataka bado watu wawe wanatembea hadi wizarani kwenda kupeleka kero zao?

Naibu waziri ni mchapa kazi hachagui wapi kwa kusikilizia Kero na huwezi mpangia kuwa kero za instagram asizisikilize kuwa Serious
 
dr mwaka anamambo...eti anatoa dawa ya kufanya down there kwa mwanamke kuwe na utamu..jaman si kufuru hii, kuumba aumbe Mungu. utamu aweke mwingine....
 

Msamehe bure!degree zake na impact kwenye jamii yake haviendani..bwahahahaaa
 
dr mwaka anamambo...eti anatoa dawa ya kufanya down there kwa mwanamke kuwe na utamu..jaman si kufuru hii, kuumba aumbe Mungu. utamu aweke mwingine....

Amegeuza nyeti za watu kama mboga yaani unaunga tu utakavyo mara makokwa ya embe mara vitunguu swaumu sikutaoza sasa.....ile kitu inautamu naturally jamani nimesikitishwa sana
 
Amegeuza nyeti za watu kama mboga yaani unaunga tu utakavyo mara makokwa ya embe mara vitunguu swaumu sikutaoza sasa.....ile kitu inautamu naturally jamani nimesikitishwa sana

Anaweza akasababisha cancer kwa wanawake na wabongo wanavo penda kupepelea ndoa Wengi wataweka! Mwanamke ana feel utamu toka kwa mwanaume na mwanaume toka kwa mwanamke sasa huo utamu wa kupikwa khaa
 
dr mwaka anamambo...eti anatoa dawa ya kufanya down there kwa mwanamke kuwe na utamu..jaman si kufuru hii, kuumba aumbe Mungu. utamu aweke mwingine....

Lmao!!
 
huwezi shindana na mtu mwenye degree 3, u know haaa haaa, i'm humbled.
 
dr mwaka anamambo...eti anatoa dawa ya kufanya down there kwa mwanamke kuwe na utamu..jaman si kufuru hii, kuumba aumbe Mungu. utamu aweke mwingine....

heheh labda yeye anaubusti tu huo utamu
 
Huyo mzee msameheni , ukishamjua mbona hakupi shida .Degree 3 analamba viatu watu wenye certificate za google.
 
Le mutuz akizidiwa huwa ana ID yake humu maalum kwa vita ....hiyo akishuka nayo lazima utoke nduki ...hiyo hutumika wakati wa vita ni vita muraa....
 


Hahahhahahahahahha mkuu umejivisha uhalisia utafikiri ni mwenyewe le akili kubwa.

Unanivunja mbavu huku kwa kicheko. Haya maisha ya kupambana na akina Mange huko instagram yatamgarimu jamaa big time.
 


Non sense reply. Zero Mind
 
sometimes, mange ni Jembe aisee..😛oa mange ni Asset
 
Hahahhahahahahahha mkuu umejivisha uhalisia utafikiri ni mwenyewe le akili kubwa.

Unanivunja mbavu huku kwa kicheko. Haya maisha ya kupambana na akina Mange huko instagram yatamgarimu jamaa big time.

- Mange ameniongezea new followers 5,000 it means Extra Tsh. 200,000 to all my deals ya matangazo niliyonayo, mengine ni ya kawaida yatapita sisi ni kuvuta pesa U know inaitwa wajinga ndio waliwao hahaha!!

le Mutuz
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…