5523
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,275
- 2,410
Hata Lissu mwenyewe na mbowe hawakutia mguu barabarani mbona kule Zanzibar maalim sefi na kina Jussa na Mazrui walionyesha mfano na wakatoka barabarani wakiwa mbeleMatumaini yapi kama sio unafiki,mlipoambiwa kulikuwa na uchafuzi badala ya uchaguzi na mkatakiwa muingie barabarani kupinga,mbona mliufyata.