inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ku a dada anafanya kazi huko,kajenga mjengo wa maanaMabinti wa kirangi kutoka mjini kondoa hiyo ndo michongo yao sasa, wanazamia Oman kama hawana akili nzuri, halafu wakirudi holiday wanakuja kuwabeba na wenzao.
Sehemu pekee ambako mfanyakazi wa ndani anaweza asipate manyanyaso ya kijinga ni only USA, some European countries, especially WEST, na Australia....Mabinti wanaofanya kazi za ndani wanavyonyanyaswa uarabuni.
Mshana Jr Soma Tena Shimba ya Buyenze bahati93 Smart911 Taavid Mathanzua Sandali Ali Champagnee antimatter Ulimakafu Mu congomani UtingoMabinti wanaofanya kazi za ndani wanavyonyanyaswa uarabuni.
Mabinti wanaoajiriwa kutoka Afrika Mashariki kwenda kufanya kazi za ndani katika mataifa ya ghuba wanaendelea kulalamikia jinsi wanavyotendewa vitendo vya kinyama kama kuteswa na hata kubakwa na waajiri wao.
Waarabu inaonekana bado wana fikra za kitumwa hata baada ya hiyo biashara haramu kupigwa marufuku na wakoloni karibu karne moja na nusu iliyopita.
Ile ni 'kama ilivyo ada'(utamaduni)tu.Ukifika mwezi mtukufu wanavyofunga utadhani watu kumbe ni............!
Kuna jinga lishatokeza kuwatetea...kisa 'maandiko' yanawasifiaUkitaka kwenda kusoma arabuni inapimwa vyote,kwa Gaddafi ilikua ukikutwa na malaria unarudishwa,wao UKIMWI hawana,wanajua unaweza kutiana na mmoja wao
Wanakuja na mabegi makubwa ya nguo akigawa wanaona huyu ndo mtu.Mabinti wa kirangi kutoka mjini kondoa hiyo ndo michongo yao sasa, wanazamia Oman kama hawana akili nzuri, halafu wakirudi holiday wanakuja kuwabeba na wenzao.
Wanapelekewa moto sana kule Uarabuni mpaka hurumaMabinti wa kirangi kutoka mjini kondoa hiyo ndo michongo yao sasa, wanazamia Oman kama hawana akili nzuri, halafu wakirudi holiday wanakuja kuwabeba na wenzao.
Baharia umeuliza swali zuri sanaHivi lengo la kuwapima hawa wadada wa kazi vvu na magonjwa mengine ya zinaa ni nn?
Kama sio kutaka kuwanyatia usiku ?
Waarabu bado wanafikra za zama za watumwa na ubaguzi,
Especially kwa mtu mweusi.
Wanaliwa sana jicho piaWanapelekewa moto sana kule Uarabuni mpaka huruma
Ulijuaje hiyo michezo dada zako wakirangi inawafanya wapendwe sana na Waarabu.Wanaliwa sana jicho pia
Ova
HahahahaUlijuaje hiyo michezo dada zako wakirangi inawafanya wapendwe sana na Waarabu.
Sema nini mzee baba niunganishe na pisi ya kirangi. Fanya hivyo mkuuHahahaha
Ova