Manyara: 8 mbaroni kwa kushangilia kifo cha Magufuli

hata ww naona unashangilia kimoyo moyo
 
Mtaa upi huo nduguyangu hata huhisi aibu?
Dah kweli ushabiki ni kitu kibaya sana.

Labda mtusaidie uko mtaani kwenu mzee aliwakosea nini
Habari ndiyo hiyo ndugu.

Huku mtaani kwetu watu ni furaha tupu - sijui wanaofurahi wanafurahia nini kwa kweli - lakini wana furaha iliyopitiliza aisee!
 

Kwahiyo unataka tumfufue au?
 
Nimeona kwenye mitandao Polisi wakikamata watu kwa tuhuma zakushangilia kifo. Naomba kujiuliza ni sheria gani inayotumika kufanya huu ukamataji? Nikifungu gani kinachotamka ili ni kosa?

Kama kifungu hicho kipo, je kinatumika kwa viongozi tu au hata raia wakawaida? Ningetamani kukijua ili jamii iweze kukitumia pale wanapopoteza wapendwa wao nakutokea watu wanaosherekea.
 
Sijui kwa kweli... kama kuna sheria hiyo ila si uungwana kufanya sherehe kwa msiba au madhila ya wengine. TULIPATA KUANDIKA HUMU WATU WALIPOSHANGILIA MADHILA YA TL NA WENGINEO TUKASEMA MBEGU MBAYA INAYOPANDWA TUTAIVUNA... Au labda ni watani wa jadi au wajukuu maana ndio hushangilia na kucheza misibani.
 
Sheria hiyo haipo.Hata kama ingekuwepo isingesaidia wanyonge. ingelenga kunufaisha watawala,kwani watunga sheria ni wao,kama haina masilahi kwao hawaileti ng'o!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…