hata ww naona unashangilia kimoyo moyoWakazi 8 wa Mererani Wilaya Simanjiro wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Manyara kwa kosa la kukejeli na kushangilia kifo cha Rais John Magufuli.
Rais John Magufuli amefariki Machi 17 kwa matatizo ya moyo na atazikwa Machi 26, Chato, Mkoani Geita. Taifa lipo katika maombolezo ya siku 21, huku bendera zikipepea nusu mlingoti.
Wakae kimya maana hawatapungukiwa na kituUnataka walie wakiwa hawampendi ili iweje
Utadhani wao hawatakufa.Ila wanadamu siye hata km mtu humpendi unashangilia ili iweje?!!!yaani wanadamu bwanaa!!!roho mbaya tu!mfyuu zenu!!!
Habari ndiyo hiyo ndugu.Mtaa upi huo nduguyangu hata huhisi aibu?
Dah kweli ushabiki ni kitu kibaya sana.
Labda mtusaidie uko mtaani kwenu mzee aliwakosea nini
Ila wanadamu siye hata km mtu humpendi unashangilia ili iweje?!!!yaani wanadamu bwanaa!!!roho mbaya tu!mfyuu zenu!!!
Yani Hapa kuna jamboo litakujaa mnaweza semaa Hivi Mama Samia roho mbaya hii kaitoa wapi???? Lakini kitu ninachoweza kuwaambia watu Ufisadi kurudi na wizi wa mali za watanzania ni rahisi sana kuliko Kuondoa sheria kandamizi za Habari na Uhuru wa kutoa maoni... Watu wataumia sanaa tu maana Nchi ipo chini ya CCM na Kwa bongo Rais pekee alieweza kufanya mambo kinyume na matakwa na akili za CCM ni Magufulu tu waliobaki hawa Hawana la kusema against maamuzi ya CCM kabisa.
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Hata marehemu roho mbaya alikuwa nayo. Alifurahia mateso ya wengine pia. R.I.P Mama KabenderaIla wanadamu siye hata km mtu humpendi unashangilia ili iweje?!!!yaani wanadamu bwanaa!!!roho mbaya tu!mfyuu zenu!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kumfufua kuna kujaje hapo....??? Msitegemee mabadilikoo ya maana bhasiKwahiyo unataka tumfufue au?
We jamaa bhanaHata mume wa mama samia anashangilia kaukwaa urais kivuli ghafla
Vipi ikitokea na mhusika naye alifurahia vifo/mateso ya wenzake enzi za uhai wake? Si ndiyo watu huongelea sasa masuala ya "KARMA" katika hili!!Lkn utaanzaje kushangilia kifo cha mwenzako??
Kisheria sijui but kiheshima tu si vzr kushangilia msiba mana huwezi jua badaye yako.
Sijui kwa kweli... kama kuna sheria hiyo ila si uungwana kufanya sherehe kwa msiba au madhila ya wengine. TULIPATA KUANDIKA HUMU WATU WALIPOSHANGILIA MADHILA YA TL NA WENGINEO TUKASEMA MBEGU MBAYA INAYOPANDWA TUTAIVUNA... Au labda ni watani wa jadi au wajukuu maana ndio hushangilia na kucheza misibani.Nimeona kwenye mitandao polisi wakikamata watu kwa tuhuma zakushangilia kifo. Naomba kujiuliza ni sheria gani inayotumika kufanya huu ukamataji? Nikifungu gani kinachotamka ili ni kosa?
Kama kifungu hicho kipo, je kinatumika kwa viongozi tu au hata raia wakawaida? Ningetamani kukijua ili jamii iweze kukitumia pale wanapopoteza wapendwa wao nakutokea watu wanaosherekea.
Sheria hiyo haipo.Hata kama ingekuwepo isingesaidia wanyonge. ingelenga kunufaisha watawala,kwani watunga sheria ni wao,kama haina masilahi kwao hawaileti ng'o!Nimeona kwenye mitandao polisi wakikamata watu kwa tuhuma zakushangilia kifo. Naomba kujiuliza ni sheria gani inayotumika kufanya huu ukamataji? Nikifungu gani kinachotamka ili ni kosa?
Kama kifungu hicho kipo, je kinatumika kwa viongozi tu au hata raia wakawaida? Ningetamani kukijua ili jamii iweze kukitumia pale wanapopoteza wapendwa wao nakutokea watu wanaosherekea.
Kwahiyo wote tulie kwa kupenda au kwa lazima.