Animal Farm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 234
- 281
..Ni mauaji ya mgombea wa Chadema ktk wilaya ya Manyoni.
..zilifanyika jitihada za kumdanganya DC pamoja na wachunguzi wa Polisi ili kuwalinda wauaji.
..inaelekea DC Dr.Mashinji ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa Chadema hataki kuwalinda wauwaji.
..tusubiri kuona kama wahusika watachukuliwa hatua, lakini inaelekea CCM ina magenge ya kihalifu yamesambaa nchi nzima.
View: https://www.youtube.com/watch?v=jVM7kwn9HQE
Mashinji ni chawa alifika bei wakati wa jiwe! Jinga sana!