Maombi, sala na dua za mke wangu ni kero kwangu

mtambulishe
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Au kwasababu group la wakubwa limefutwa si tulikuwa wote kule au
 
Nipe namba yako ya simu ili unifundishe kufumania, mi sijui
Sitaki kesi mkuu...kuvunja ndoa ya watu ni dhambi kubwa sana Ila sjasema kwamba mkeo anachepuka ni ktk tahadhari tu kulingana na maneno yake

Simu yake na marafiki zake ni mwanzo wa utafiti wako.
 
...fanya uchunguzi mkuu kuna mtu anapiga mkeo...kama sio mchungaji sijui

Naungana na wewe mkuu. Kuna uwezekano mkubwa huyu mwanamke kuna mtu tena mume wa mtu anapiga. sasa mwanamke hicho kitu kinamuumiza anafeel guilty sana kwahiyo ndio anatafuta "leverage". Akijua na jamaa ana mchepuko basi atafurahi sana maana atajua kumbe sio yeye tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…