Zero 2 Hero
JF-Expert Member
- Dec 16, 2012
- 532
- 1,072
Sasa hapo posho italeta maji ama umeme? Posho na vitu ulivyoviongelea mbona haviendeni?Kuna sehemu nilikwenda ni kijijini sana yani kuna shule hadi ya sekondari na ina wanafunzi wengi tuu! Kuna nyumba za walimu zimejengwa na wanakijiji lakini umeme hakuna na maji hakuna kwa hiyo maji wanayatoa mbali inabidi kuwatumia wanafunzi kupata maji…
Sasa kwa hali kama hii kwanini kada hii isidharaulike? Na kwanini wasilipwe posho za mazingira magumu kama kada ya afya?
Walimu walikukosea nini?!!Ukweli ndio huo, mshahara wanaopewa hawa viumbe Kwa kweli huwa nawaza wanaishije Kwa sababu hata ukisema ujibane vipi hautoshi. Ajabu hizi njemba zinadunda tu khaaa [emoji28][emoji28][emoji28]
Mwalimu tangu aanze kazi mshahara haijawahi kukutana kwenye account, ukitoka tar 22 mpe siku tano mbele baada ya hapo anaanza kuishi Kwa kuunga Unga
Maisha Yao niyamajuto, kuperekeshwa, kudharauliwa na kupuuzwa kama nguruwe. Sasa hawa ni binadamu au mizoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787], yani jamii nzima inawaona ni viumbe wa ajabu sana unaweza vp kuishi Kwa mshahara wa barmaid na ukadunda.
Walimu wanatia aibu vibaya mno, sijui tuwaweke kwenye kundi gani maana hata tukiwagroup kwenye kundi la wanyamapori naona bado tunawapendelea tu hawana sifa hizo, wao wamezidi
Wapi huko kada ya afya wanalipwa posho ya mazingira magumu!?Kuna sehemu nilikwenda ni kijijini sana yani kuna shule hadi ya sekondari na ina wanafunzi wengi tuu! Kuna nyumba za walimu zimejengwa na wanakijiji lakini umeme hakuna na maji hakuna kwa hiyo maji wanayatoa mbali inabidi kuwatumia wanafunzi kupata maji…
Sasa kwa hali kama hii kwanini kada hii isidharaulike? Na kwanini wasilipwe posho za mazingira magumu kama kada ya afya?
...Huwa nakushangaa sana wewe maisha Yao yanakuhusu nini? achana nao by the way juzi uliletwa Uzi hapa jamaa anatamani ualimu...!!!ukiona Cha Nini mwanzako anasema atapata lini....Ukweli ndio huo, mshahara wanaopewa hawa viumbe Kwa kweli huwa nawaza wanaishije Kwa sababu hata ukisema ujibane vipi hautoshi. Ajabu hizi njemba zinadunda tu khaaa [emoji28][emoji28][emoji28]
Mwalimu tangu aanze kazi mshahara haijawahi kukutana kwenye account, ukitoka tar 22 mpe siku tano mbele baada ya hapo anaanza kuishi Kwa kuunga Unga
Maisha Yao niyamajuto, kuperekeshwa, kudharauliwa na kupuuzwa kama nguruwe. Sasa hawa ni binadamu au mizoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787], yani jamii nzima inawaona ni viumbe wa ajabu sana unaweza vp kuishi Kwa mshahara wa barmaid na ukadunda.
Walimu wanatia aibu vibaya mno, sijui tuwaweke kwenye kundi gani maana hata tukiwagroup kwenye kundi la wanyamapori naona bado tunawapendelea tu hawana sifa hizo, wao wamezidi
pana ukweli hapa !1. Walimu Hawana pakuiba...
2.Hakuna kundi lililojaa wanafiki kama walimu
3.Kutwa nzima unalikuta jaalimu la kiume lipo bega Kwa bega na mwalimu wa kike, sio litaomba mzigo ni umbea umbea tu.
4. Haya!!! mwalimu mmoja aanzishe mradi, walimu wenzie hao Kwa mkurugenzi jamaa hafundishi.
5. Na wao wakaona waingie kwenye betting, Sasa kanjibai anavyo warambisho udongo. Hawa jamaa😂
Makabwera tu hawaWalimu walikukosea nini?!!
Ualimu Kwa bongo ni laanaMpwayungu anakera sana lakini in general Tanzania kazi ya ualimu bongo nyoso
DuuuuUalimu Kwa bongo ni laana
Maisha ya teja afadhariTukiweka ushabiki pembeni hivi ni kweli waalimu wana maisha magumu
Hahahahaha mpaka nimepaliwa. Dah ila wewe jamaa ni chiziMaisha ya teja afadhari