Nebuchadneza
JF-Expert Member
- Oct 6, 2023
- 435
- 1,093
Hahahaha, umewajumlishaAma kweli wewe ni mbumbumbu na wenye akili ni wawili tu
Sawa huwezi kupingana na mda tusubiri mda useme ukweliAma kweli wewe ni mbumbumbu na wenye akili ni wawili tu
Uandishi mwingine unakera sana,ni bora kukaa kimya kuliko kuanzisha thread yenye makosa ya kshamba hivi, itahairishwa=itaahirishwaSababu kubwa.
Mvua itanyesha kubwa sana jumamosi na itasababisha maafa makubwa.
Uwanja hautaweza kuchezeka mechi.
Tujiandae kwa hilo
Mkuu wakiandika wenzio unawaita watoto (utoto)
Mbona na wewe kuna vitu hafifanani na uandishi na uchambuzi wako?
I'd yako inaheshimika humu , samahani Kama nimekukwaza
Huyo ndo anaongoza kuandika ujinga [emoji28]Mkuu wakiandika wenzio unawaita watoto (utoto)
Mbona na wewe kuna vitu hafifanani na uandishi na uchambuzi wako?
I'd yako inaheshimika humu , samahani Kama nimekukwaza
Ni kuahirishwa sio kuhairishwa ukiweza rekebishaSababu kubwa.
Mvua itanyesha kubwa sana jumamosi na itasababisha maafa makubwa.
Uwanja hautaweza kuchezeka mechi.
Tujiandae kwa hilo
to yeye umepotea sanaaAsante kwa taarifa mkuu
Wala haihatajiki muda ,we soma humu michango yao utajua nachosemamuda utasema ukweli
Nipo Kamanda...mambo mengito yeye umepotea sanaa
Poa poaJack Daniel
Hapana mkuu hujakosea.
Karibu sana kunishauri, kunikosoa,na hata kunionya ninapokosea mimi ni Binadamu na si mkamilifu.
Napenda sana mtu mkweli anayesema Ukweli ukweli unanisaidia sana (ukweli unaweka huru yoh8:32)
Huyu jamaa anafanya unajimu,ubashiri,utabiri, kamali nk.
Haya yote yamekatazwa kwenye maandiko matakatifu (Torati 18:9-).
angalau angekuwa na sorce kutoka TMA ningemuelewa kidogo.
MUNGU ndie mpangaji wa Yote maandalio ya moyo ni ya mwanadamu bali jawabu la ulimi latoka kwa MUNGU
MUNGU NDIYE MWENYE HATIMA YA MAMBO YOTE NA SI MWANADAMU.
Na ww pia umekoseaUandishi mwingine unakera sana,ni bora kukaa kimya kuliko kuanzisha thread yenye makosa ya kshamba hivi, itahairishwa=itaahirishwa
Kwenda zako wewe,hayo ni yako na upuuzi wakoNa ww pia umekosea
Itaahirishwa= itakhairishwa
Japo sio nieandika lakini wacha nimtetee muandishi.Uandishi mwingine unakera sana,ni bora kukaa kimya kuliko kuanzisha thread yenye makosa ya kshamba hivi, itahairishwa=itaahirishwa
Viswahili vya mikoani hivyo.