Nebuchadneza
JF-Expert Member
- Oct 6, 2023
- 435
- 1,093
- Thread starter
- #61
Kwa kuwa watanzania ni watu wa madharau,na kudharau mambo basi,tff nakusihi mpira usichezwe,madudu yenu Leo yatawekwa bayana mkishindwa kuharisha mechi.
Sasa ni 13:13 mda bado wa kusema mechi imeghairishwa.
Nipo pale nimetulia zangu nacheki Harlan cobens shelter
Sasa ni 13:13 mda bado wa kusema mechi imeghairishwa.
Nipo pale nimetulia zangu nacheki Harlan cobens shelter