Maoni: Mechi ya Simba na Yanga huenda ikaghairishwa kwa sababu ya mvua

Maoni: Mechi ya Simba na Yanga huenda ikaghairishwa kwa sababu ya mvua

Viswahili vya mikoani hivyo.
Ndugu muandishi yuko sahihi kabisa, tatizo lenu utotoni munaongea viruga weee, mukishaanza primary ndio munaanza kujifunza kiswahili.

Hilo neno Kughair ni lakiarabu, sasa wewe mchinja nguruwe utalijulia wapi?
Vitoto vya juzi vinajifanya vinajuwa lugha hii adimu
 
Hivi mkuu unajiona ni timamu kweli kichwani?
Maoni aliyotoa mleta mada na kauli ya Luc Eymael ina uhusiano gani ikiwa mleta uzi katoa na sababu zake ambazo dalili zinajionesha?
Halafu ndio wewe unalia na moderator humu kwanini wanalea watu wapumbavu, sasa hapo wewe una u- smart gani kujibu vitu vilivyo nje ya hoja? Jibu hoja au pinga hoja ya mleta uzi ndio u smart wenyewe, kama huna hoja kaa pembeni soma tu sio kujilazimisha ku comment hata ujinga na upumbavu usiohusina na mada

Mwisho ni kwamba nimalizie kwa kusema kuwa ushabiki unaweza kukutoa utu, ubinadamu, ustarabu na heshima endapo tu utakuwa mshabiki mlevi kupindukia, sidhani kama katika familia yenu hakuna mbwa na manyani, sidhani kama katika ukoo wenu watakosa hao manyani na mambwa hvyo umefikia kuwatusi hadi ndugu zako wanaoshabikia Yanga. Sio jambo baya kuwatusi kwasababu ndio akili yako ilivyokuwa kutokana na ulevi ulionao wa Usimba na Uyanga.
 
Hivi mkuu unajiona ni timamu kweli kichwani?
Maoni aliyotoa mleta mada na kauli ya Luc Eymael ina uhusiano gani ikiwa mleta uzi katoa na sababu zake ambazo dalili zinajioneaha?
Halafu ndio wewe unalia na moderator humu kwanini wanalea watu wapumbavu, sasa hapo wewe una u- smart gani kujibu vitu vilivyo nje ya hoja? Jibu hoja au pinga hoja ya mleta uzi ndio u smart wenyewe, kama huna hoja kaa pembeni soma tu sio kujilazimisha ku comment hata ujinga na upumbavu usiohusina na mada

Mwisho ni kwamba nimalizie kwa kusema kuwa ushabiki unaweza kukutoa utu, ubinadamu, ustarabu na heshima endapo tu utakuwa mshabiki mlevi kupindukia, sizani kama katika familia yenu hakuna mbwa na manyani, sizani kama katika ukoo wenu watakosa hao manyani na mambwa hvyo umefikia kuwatusi hadi ndugu zako wanaoshabikia Yanga. Sio jambo baya kuwatusi kwasababu ndio akili yako ilivyokuwa kutokana na ulevi ulionao wa Usimba na Uyanga.
Umemfundisha heshima mtoto huyo
WaNadhani mpira ndo kila kitu kwenye haya maisha, nilichokiandika hapa kuhusu kuhaarishwa sijakosea.

Watayaamini maneno yangu,time will tell MUNGU mwenyewe hapendi watu wanatukuza mpira sana na kuacha kumwabudu yeye aliyetupa hivi vipaji, taifa linalotukuza upuuzi wa kizungu daima huwa la mwisho kimaendeleo, na viongozi washajua upumbavu wetu na kuingiza siasa kwenye mpira, wa Kenya hata hawafagili mpira, south Africa hata hawapend mpira ila sisi watanzania tunaotanga na nyika utakuta lijitu linzima linadaiwa kodi ya nyumba linabishana barabarani kuhusu mpira.

Kweli tusipobadilika hakuna atakaye tubadilisha.
 
Uandishi mwingine unakera sana,ni bora kukaa kimya kuliko kuanzisha thread yenye makosa ya kshamba hivi, itahairishwa=itaahirishwa
Bado kuna makosa Itaakhirishwa vijana Wales ni hovyo kabisa katika uandishi
 
Sidhani kama kuna kupishana akili labda tumepishana kwa idadi ya vidato tu ila akili zote ziko vile vile sawasawa!
Nchi zingine umeme ukikatika dakika kumi tu wako barabarani Rais kilaza atoke na mabango kibao ila sisi tumeambiwa miezi sita umeme hakuna hakuna hata mmoja aliejali!

Juzikati wamebeba mabilioni sijui 200 kukarabati uwanja wa
Mkapa sasa kwanini hawakuufunika , Pesa zote wamefanyia nini, akili fupi ni asili yetu!!

Wabongo akili zetu zimeishia pale tunasema boli Simba na Yanga lichezwe iwe jua iwe mvua tuoneshane umwamba basi!!
 
Na wewe umekosea neno sahihi ni itaairishwa
Wee naye kilaza tu,mwanzoni heading iliandikwa kuhairisha nakamwambia ni kuahirisha,baadae mods wameedit ikawa kuahirisha,sasa wewe na ujuaji uchwara wako unaleta upuuzi mwingine,kwahiyo mods na wewe nani wajuvi!?
 
Sidhani kama kuna kupishana akili labda tumepishana kwa idadi ya vidato tu ila akili zote ziko vile vile sawasawa!
Nchi zingine umeme ukikatika dakika kumi tu wako barabarani Rais kilaza atoke na mabango kibao ila sisi tumeambiwa miezi sita umeme hakuna hakuna hata mmoja aliejali!

Juzikati wamebeba mabilioni sijui 200 kukarabati uwanja wa
Mkapa sasa kwanini hawakuufunika , Pesa zote wamefanyia nini, akili fupi ni asili yetu!!

Wabongo akili zetu zimeishia pale tunasema boli Simba na Yanga lichezwe iwe jua iwe mvua tuoneshane umwamba basi!!
Hahahahaha, umeiweka vzr
 
Huu mpira na mvua utakua butua butua tu, hapa ndo Simba wanaweza pata matokeo maana wamezoea papatu papatu, biriyani la gamondi Leo halitaonekana
 
Wee naye kilaza tu,mwanzoni heading iliandikwa kuhairisha nakamwambia ni kuahirisha,baadae mods wameedit ikawa kuahirisha,sasa wewe na ujuaji uchwara wako unaleta upuuzi mwingine,kwahiyo mods na wewe nani wajuvi!?
Kwani mods ni malaika mpaka wasikosee mods ni watu kama wewe ulivyo
 
Back
Top Bottom