WAKO WAPI WATU WAKO JF-Expert Member Joined Sep 26, 2017 Posts 2,373 Reaction score 3,139 Nov 5, 2023 #81 Nebuchadneza said: Mzee kumbe bado hujayaamini maneno yangu?? Hii mechi haichezwi Click to expand... Mechi imechezwa Jana usiku(saa kumi usiku) na Yanga kashinda goli zaidi ya 3... hii Mvua Imeendaaaaaaaa. Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Nebuchadneza said: Mzee kumbe bado hujayaamini maneno yangu?? Hii mechi haichezwi Click to expand... Mechi imechezwa Jana usiku(saa kumi usiku) na Yanga kashinda goli zaidi ya 3... hii Mvua Imeendaaaaaaaa. Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
fimboyaasali JF-Expert Member Joined Jan 14, 2011 Posts 8,617 Reaction score 8,244 Nov 5, 2023 #82 Nebuchadneza said: Sababu kubwa. Mvua itanyesha kubwa sana jumamosi na itasababisha maafa makubwa. Uwanja hautaweza kuchezeka mechi. Tujiandae kwa hilo Click to expand... ikaghairishwa ndio nini?
Nebuchadneza said: Sababu kubwa. Mvua itanyesha kubwa sana jumamosi na itasababisha maafa makubwa. Uwanja hautaweza kuchezeka mechi. Tujiandae kwa hilo Click to expand... ikaghairishwa ndio nini?
N Nebuchadneza JF-Expert Member Joined Oct 6, 2023 Posts 435 Reaction score 1,093 Nov 5, 2023 Thread starter #83 fimboyaasali said: ikaghairishwa ndio nini? Click to expand... Kusogezwa mbele
CAPO DELGADO JF-Expert Member Joined Aug 31, 2020 Posts 8,542 Reaction score 18,340 Nov 5, 2023 #84 CAPO DELGADO said: Muda ni hakimu wa kweli yeye huwa anahukumu kwa haki yote. Kwanini tusisubiri muda utuambie wenyewe???? Mambo ya unajimu ,ubashiri,kamali nk imanj yangu inakataza sana. Ni dhambi Click to expand... Hatimaye Muda umetoa majibu....... Muwe mnaficha ujinga
CAPO DELGADO said: Muda ni hakimu wa kweli yeye huwa anahukumu kwa haki yote. Kwanini tusisubiri muda utuambie wenyewe???? Mambo ya unajimu ,ubashiri,kamali nk imanj yangu inakataza sana. Ni dhambi Click to expand... Hatimaye Muda umetoa majibu....... Muwe mnaficha ujinga