Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Wewe unamtafuta malaika?Tunajitaji kiongozi ambaye ndiye bora katika wale wanaozungumza.
Kiongozi ambaye Hana lawama, kiongozi ambaye vitivo vyake(faculties)vimetulia.
Kiongozi ambaye watu wote wanaompinga hawawezi kumfanya atetereke, kiongozi mwenye kuelewa upeo wa juu kabisa wa ukweli.
Kiongozi wa Chama ambaye mwenendo wake ni mkamilifu na dhamira zake ni kamilifu.
Kiongozi ambaye amejikita katika kutafakari.
Kiongozi ambaye Hana tabia ya kuona uchungu au kukata tamaa, ambaye Hana hofu wala uchovu.
Kiongozi ambaye ana uvumili u kwa watu; ambaye hagandamani na watu lakini pia hagombani nao.
Kiongozi wa Chama anapaswa kuwa na akili ya wema wakati wote.
Katika kila uwanja maarifa yake yanapaswa kuwa mengi.
Tunataka kiongozi ambaye anaweza kuwaunganisha watu, ambaye akizungumza watu wanakuwa na utengamano,furaha na utulivu.
Kiongozi ambaye anazungumza maneno matamu,yenye hoja na dhahiri.
Kiongozi ambaye hashirikiani na wapumbavu,wenye maoni yasiyofaa,ambao ni waongo,wanaozungumza maneno ya kashfa,ya ukali au wanadanganya.
Kiongozi ambaye anashirikiana na wote ambao wamenyooka,hawada nganyi,ambao kila wakati hufanya kazi baada ya kuzingatia athari ya matendo yao.
Mbona Jiwe hakuwa na sifa hata moja kati ya hizi ulizotaja ? Yeye alikuwa Barbarian .Tunajitaji kiongozi ambaye ndiye bora katika wale wanaozungumza.
Kiongozi ambaye Hana lawama, kiongozi ambaye vitivo vyake(faculties)vimetulia.
Kiongozi ambaye watu wote wanaompinga hawawezi kumfanya atetereke, kiongozi mwenye kuelewa upeo wa juu kabisa wa ukweli.
Kiongozi wa Chama ambaye mwenendo wake ni mkamilifu na dhamira zake ni kamilifu.
Kiongozi ambaye amejikita katika kutafakari.
Kiongozi ambaye Hana tabia ya kuona uchungu au kukata tamaa, ambaye Hana hofu wala uchovu.
Kiongozi ambaye ana uvumili u kwa watu; ambaye hagandamani na watu lakini pia hagombani nao.
Kiongozi wa Chama anapaswa kuwa na akili ya wema wakati wote.
Katika kila uwanja maarifa yake yanapaswa kuwa mengi.
Tunataka kiongozi ambaye anaweza kuwaunganisha watu, ambaye akizungumza watu wanakuwa na utengamano,furaha na utulivu.
Kiongozi ambaye anazungumza maneno matamu,yenye hoja na dhahiri.
Kiongozi ambaye hashirikiani na wapumbavu,wenye maoni yasiyofaa,ambao ni waongo,wanaozungumza maneno ya kashfa,ya ukali au wanadanganya.
Kiongozi ambaye anashirikiana na wote ambao wamenyooka,hawada nganyi,ambao kila wakati hufanya kazi baada ya kuzingatia athari ya matendo yao.
Unataka kumwonea tu bure, huo ujasiri atautoa wapi?Mbona Jiwe hakuwa na sifa hata moja kati ya hizi ulizotaja ? Yeye alikuwa Barbarian .View attachment 1768370
Wewe kwako democrasia ni kuondolewa hao, kwani hata walioporwa ushindi na hata fomu uliona ni democrasiaMama Samia nakusalimia kwa jina la JMT mama kipindi utakapokutana na viongozi wa vyama vya siasa usisahau kuwaambia wakongwe wang'atuke mama haileti picha mbaya kung'ang'ania Taasisi za umma miaka karibia 20 na wengine 26 kwa mfano huyu wa Chadema amekifanya Chama kama mali ya familia au kampuni yake binafsi anajiona mjuaji mama Peleka sheria bungeni itakayoyaondoa haya madikteta fanya hvy mama Sasha tunajua wewe ni mpenda demokrssia
Wewe utakuwa mgogo au mnyiramba maana CCM imewapa ufukara wa kutosha mpaka akili hamnaga tena.Mama Samia nakusalimia kwa jina la JMT mama kipindi utakapokutana na viongozi wa vyama vya siasa usisahau kuwaambia wakongwe wang'atuke mama haileti picha mbaya kung'ang'ania Taasisi za umma miaka karibia 20 na wengine 26 kwa mfano huyu wa Chadema amekifanya Chama kama mali ya familia au kampuni yake binafsi anajiona mjuaji mama Peleka sheria bungeni itakayoyaondoa haya madikteta fanya hvy mama Sasha tunajua wewe ni mpenda demokrssia
Ukifanya hivyo mama wapenda demokrasia kote duniani watafurahi sana,maana hao wanaofanyiwa udikteta huu ni watanzania ambao kiuhalisia ni watoto wako,maana wewe ndo mama wa Watanzania wote.Mama Samia nakusalimia kwa jina la JMT mama kipindi utakapokutana na viongozi wa vyama vya siasa usisahau kuwaambia wakongwe wang'atuke mama haileti picha mbaya kung'ang'ania Taasisi za umma miaka karibia 20 na wengine 26 kwa mfano huyu wa Chadema amekifanya Chama kama mali ya familia au kampuni yake binafsi anajiona mjuaji mama Peleka sheria bungeni itakayoyaondoa haya madikteta fanya hvy mama Sasha tunajua wewe ni mpenda demokrssia
Mimi kama mwanaChadema makini naunga mkono.Mama Samia nakusalimia kwa jina la JMT mama kipindi utakapokutana na viongozi wa vyama vya siasa usisahau kuwaambia wakongwe wang'atuke mama haileti picha mbaya kung'ang'ania Taasisi za umma miaka karibia 20 na wengine 26 kwa mfano huyu wa Chadema amekifanya Chama kama mali ya familia au kampuni yake binafsi anajiona mjuaji mama Peleka sheria bungeni itakayoyaondoa haya madikteta fanya hvy mama Sasha tunajua wewe ni mpenda demokrssia
Mama Samia nakusalimia kwa jina la JMT mama kipindi utakapokutana na viongozi wa vyama vya siasa usisahau kuwaambia wakongwe wang'atuke mama haileti picha mbaya kung'ang'ania Taasisi za umma miaka karibia 20 na wengine 26 kwa mfano huyu wa Chadema amekifanya Chama kama mali ya familia au kampuni yake binafsi anajiona mjuaji mama Peleka sheria bungeni itakayoyaondoa haya madikteta fanya hvy mama Sasha tunajua wewe ni mpenda demokrssia
Nyiye Mataga kweli propaganda zenu ni za lkitoto sana!Mama Samia nakusalimia kwa jina la JMT mama kipindi utakapokutana na viongozi wa vyama vya siasa usisahau kuwaambia wakongwe wang'atuke mama haileti picha mbaya kung'ang'ania Taasisi za umma miaka karibia 20 na wengine 26 kwa mfano huyu wa Chadema amekifanya Chama kama mali ya familia au kampuni yake binafsi anajiona mjuaji mama Peleka sheria bungeni itakayoyaondoa haya madikteta fanya hvy mama Sasha tunajua wewe ni mpenda demokrssia
una elimu gani?Mama Samia nakusalimia kwa jina la JMT mama kipindi utakapokutana na viongozi wa vyama vya siasa usisahau kuwaambia wakongwe wang'atuke mama haileti picha mbaya kung'ang'ania Taasisi za umma miaka karibia 20 na wengine 26 kwa mfano huyu wa Chadema amekifanya Chama kama mali ya familia au kampuni yake binafsi anajiona mjuaji mama Peleka sheria bungeni itakayoyaondoa haya madikteta fanya hvy mama Sasha tunajua wewe ni mpenda demokrssia
Kuzungumza ni kitu kimoja na kutenda ni kitu kingine. Japo ''kuzungumza'' ni dalili nzuri lakini maisha yamenifunza niamini kuwa siyo kila dalili inatoa matokeo husika. Watanzania ni wepesi wa kudanganywa kwa sababu wanaamini vitu kwa haraka bila kutafakari na kujipa muda. Uzoefu umenifunza kuwa kila rais mpya anayeingia huingia na hamasa mpya lakini baada ya muda kila kitu huyeyuka. Simhukumu mama Samia lakini natoa tahadhari kuwa tuwe wavumilivu na wachunguzi bila kutoa hitimisho kwa haraka.Kila anapohutubia anazungumzia watu. Maslahi ya wafanyakazi, malipo ya wakandarasi, manyanyaso ya walipa kodi, kubambikiwa kesi, mafaili ya kesi yasiyokwisha upelelezi, punguzo la vifungo 5000 haijapata kutokea, uhuru wa kuongea (vpn kufunguliwa), vitendea kazi kwa watumishi.
Kuhusu demokrasia walao vyama vimeingia gereji kutengeneza vyama vyao.