Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Mama Samia nakusalimia kwa jina la JMT mama kipindi utakapokutana na viongozi wa vyama vya siasa usisahau kuwaambia wakongwe wang'atuke mama haileti picha mbaya kung'ang'ania Taasisi za umma miaka karibia 20 na wengine 26 kwa mfano huyu wa Chadema amekifanya Chama kama mali ya familia au kampuni yake binafsi anajiona mjuaji mama Peleka sheria bungeni itakayoyaondoa haya madikteta fanya hvy mama Sasha tunajua wewe ni mpenda demokrssia
 
Tunajitaji kiongozi ambaye ndiye bora katika wale wanaozungumza.
Kiongozi ambaye Hana lawama, kiongozi ambaye vitivo vyake(faculties)vimetulia.
Kiongozi ambaye watu wote wanaompinga hawawezi kumfanya atetereke, kiongozi mwenye kuelewa upeo wa juu kabisa wa ukweli.
Kiongozi wa Chama ambaye mwenendo wake ni mkamilifu na dhamira zake ni kamilifu.
Kiongozi ambaye amejikita katika kutafakari.
Kiongozi ambaye Hana tabia ya kuona uchungu au kukata tamaa, ambaye Hana hofu wala uchovu.
Kiongozi ambaye ana uvumili u kwa watu; ambaye hagandamani na watu lakini pia hagombani nao.
Kiongozi wa Chama anapaswa kuwa na akili ya wema wakati wote.
Katika kila uwanja maarifa yake yanapaswa kuwa mengi.

Tunataka kiongozi ambaye anaweza kuwaunganisha watu, ambaye akizungumza watu wanakuwa na utengamano,furaha na utulivu.
Kiongozi ambaye anazungumza maneno matamu,yenye hoja na dhahiri.
Kiongozi ambaye hashirikiani na wapumbavu,wenye maoni yasiyofaa,ambao ni waongo,wanaozungumza maneno ya kashfa,ya ukali au wanadanganya.
Kiongozi ambaye anashirikiana na wote ambao wamenyooka,hawada nganyi,ambao kila wakati hufanya kazi baada ya kuzingatia athari ya matendo yao.
Wewe unamtafuta malaika?
Wa nini?
Utampata wapi dunia hii?

Kiongozi yeyote hawezi kukosa lawama, hata angefanya mazuri kiasi gani.

Tunataka kiongozi anayejali maslahi ya Tanzania na waTanzania wote, hata hao ambao hawashibi wakishaiba mali zetu.

Tunataka kiongozi asiyevumilia kabisa uchafu wa ufisadi, rushwa, ubadhirifu na matakataka yote. Hao ambao ni sugu na hawasikii kitu awashughulikie kwa sheria zilizopo; kama hazitoshi, awape Bunge watunge za kuwakomesha wanaohujumu nchi yao, ikilazimu hata wanyongwe kama ndiyo njia ya kuwatia akili.

Tunataka kiongozi anayewaunganisha waTanzania, kama taifa moja la watu wanaotambua thamani ya uraia wao na kuuonea fahari.

Kiongozi asionee watu asiowapenda na kuwafanya maadui, kwa vile hawakubaliani naye.

Kiongozi ajue, uongozi wake ni kuwatumikia waTanzania, na siyo kuwafanya wawe mateka wake wa kumsifia hata anapotenda yasiyostahili.

Tunataka kiongozi ambaye anao uwezo wa ushawishi na kuheshimiwa na viongozi wenzake wa mataifa mbalimbali. Anayeweza kuitetea Tanzania bila ya kujionyesha yeye ni bora kuliko wengine

Na zaidi ya yote, tunataka kiongozi atakayewafanya waTanzania kuwa na uthubutu wa kusema wanaweza kufanya mema kwa nchi yao. Kwamba wanaweza kujiletea maendeleo wao wenyewe, na siyo kutegemea watu wengine watoe misaada kwao.
Watu wanaolinda maslahi ya nchi yao, wakichukizwa na vitendo vya wachache kunufaiki na utajiri wa nchi huku wengi wao wakisononeka na kughubikwa na umaskini.

Kiongozi ahimize kila mwananchi wake anatimiza wajibu wake wa kujiletea maisha bora na kuiendeleza Tanzania kiujumla

Nina hakika kiongozi mwenye sifa hizo zote hayupo, lakini anayejitahidi katika mengi ya hayo atafaa sana kwa taifa hili sasa na kwenda mbele.

Je mama anazo kiasi gani ya sifa hizi? SIJUI! Lakini nasubili nione anaweza nini.
 
Tunajitaji kiongozi ambaye ndiye bora katika wale wanaozungumza.
Kiongozi ambaye Hana lawama, kiongozi ambaye vitivo vyake(faculties)vimetulia.
Kiongozi ambaye watu wote wanaompinga hawawezi kumfanya atetereke, kiongozi mwenye kuelewa upeo wa juu kabisa wa ukweli.
Kiongozi wa Chama ambaye mwenendo wake ni mkamilifu na dhamira zake ni kamilifu.
Kiongozi ambaye amejikita katika kutafakari.
Kiongozi ambaye Hana tabia ya kuona uchungu au kukata tamaa, ambaye Hana hofu wala uchovu.
Kiongozi ambaye ana uvumili u kwa watu; ambaye hagandamani na watu lakini pia hagombani nao.
Kiongozi wa Chama anapaswa kuwa na akili ya wema wakati wote.
Katika kila uwanja maarifa yake yanapaswa kuwa mengi.

Tunataka kiongozi ambaye anaweza kuwaunganisha watu, ambaye akizungumza watu wanakuwa na utengamano,furaha na utulivu.
Kiongozi ambaye anazungumza maneno matamu,yenye hoja na dhahiri.
Kiongozi ambaye hashirikiani na wapumbavu,wenye maoni yasiyofaa,ambao ni waongo,wanaozungumza maneno ya kashfa,ya ukali au wanadanganya.
Kiongozi ambaye anashirikiana na wote ambao wamenyooka,hawada nganyi,ambao kila wakati hufanya kazi baada ya kuzingatia athari ya matendo yao.
Mbona Jiwe hakuwa na sifa hata moja kati ya hizi ulizotaja ? Yeye alikuwa Barbarian .
Screenshot_20210429-224309.png
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mama Samia nakusalimia kwa jina la JMT mama kipindi utakapokutana na viongozi wa vyama vya siasa usisahau kuwaambia wakongwe wang'atuke mama haileti picha mbaya kung'ang'ania Taasisi za umma miaka karibia 20 na wengine 26 kwa mfano huyu wa Chadema amekifanya Chama kama mali ya familia au kampuni yake binafsi anajiona mjuaji mama Peleka sheria bungeni itakayoyaondoa haya madikteta fanya hvy mama Sasha tunajua wewe ni mpenda demokrssia
Wewe kwako democrasia ni kuondolewa hao, kwani hata walioporwa ushindi na hata fomu uliona ni democrasia
 
Mama Samia nakusalimia kwa jina la JMT mama kipindi utakapokutana na viongozi wa vyama vya siasa usisahau kuwaambia wakongwe wang'atuke mama haileti picha mbaya kung'ang'ania Taasisi za umma miaka karibia 20 na wengine 26 kwa mfano huyu wa Chadema amekifanya Chama kama mali ya familia au kampuni yake binafsi anajiona mjuaji mama Peleka sheria bungeni itakayoyaondoa haya madikteta fanya hvy mama Sasha tunajua wewe ni mpenda demokrssia
Wewe utakuwa mgogo au mnyiramba maana CCM imewapa ufukara wa kutosha mpaka akili hamnaga tena.
 
Mama Samia nakusalimia kwa jina la JMT mama kipindi utakapokutana na viongozi wa vyama vya siasa usisahau kuwaambia wakongwe wang'atuke mama haileti picha mbaya kung'ang'ania Taasisi za umma miaka karibia 20 na wengine 26 kwa mfano huyu wa Chadema amekifanya Chama kama mali ya familia au kampuni yake binafsi anajiona mjuaji mama Peleka sheria bungeni itakayoyaondoa haya madikteta fanya hvy mama Sasha tunajua wewe ni mpenda demokrssia
Ukifanya hivyo mama wapenda demokrasia kote duniani watafurahi sana,maana hao wanaofanyiwa udikteta huu ni watanzania ambao kiuhalisia ni watoto wako,maana wewe ndo mama wa Watanzania wote.
Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Mama Samia nakusalimia kwa jina la JMT mama kipindi utakapokutana na viongozi wa vyama vya siasa usisahau kuwaambia wakongwe wang'atuke mama haileti picha mbaya kung'ang'ania Taasisi za umma miaka karibia 20 na wengine 26 kwa mfano huyu wa Chadema amekifanya Chama kama mali ya familia au kampuni yake binafsi anajiona mjuaji mama Peleka sheria bungeni itakayoyaondoa haya madikteta fanya hvy mama Sasha tunajua wewe ni mpenda demokrssia
Mimi kama mwanaChadema makini naunga mkono.
 
Mama Samia nakusalimia kwa jina la JMT mama kipindi utakapokutana na viongozi wa vyama vya siasa usisahau kuwaambia wakongwe wang'atuke mama haileti picha mbaya kung'ang'ania Taasisi za umma miaka karibia 20 na wengine 26 kwa mfano huyu wa Chadema amekifanya Chama kama mali ya familia au kampuni yake binafsi anajiona mjuaji mama Peleka sheria bungeni itakayoyaondoa haya madikteta fanya hvy mama Sasha tunajua wewe ni mpenda demokrssia

Mwambie kwanza aondoe udikteta CCM:

**Mgombea uenyekiti ccm huwa hapingwi.

**Kuna wabunge ccm wamekaa majimboni maisha yao yote,wengine over 20 yrs!

#MATAGA bwana#!.
 
Mama Samia nakusalimia kwa jina la JMT mama kipindi utakapokutana na viongozi wa vyama vya siasa usisahau kuwaambia wakongwe wang'atuke mama haileti picha mbaya kung'ang'ania Taasisi za umma miaka karibia 20 na wengine 26 kwa mfano huyu wa Chadema amekifanya Chama kama mali ya familia au kampuni yake binafsi anajiona mjuaji mama Peleka sheria bungeni itakayoyaondoa haya madikteta fanya hvy mama Sasha tunajua wewe ni mpenda demokrssia
Nyiye Mataga kweli propaganda zenu ni za lkitoto sana!

Wewe amekufanya nini Mbowe?

Hivi hujawaona akina Mrema na Cheyo, ambao wamevifanya vyama vyao kuwa "their personal properties" ila wewe unalia na Mbowe tu!
 
Mama Samia nakusalimia kwa jina la JMT mama kipindi utakapokutana na viongozi wa vyama vya siasa usisahau kuwaambia wakongwe wang'atuke mama haileti picha mbaya kung'ang'ania Taasisi za umma miaka karibia 20 na wengine 26 kwa mfano huyu wa Chadema amekifanya Chama kama mali ya familia au kampuni yake binafsi anajiona mjuaji mama Peleka sheria bungeni itakayoyaondoa haya madikteta fanya hvy mama Sasha tunajua wewe ni mpenda demokrssia
una elimu gani?
 
Kila anapohutubia anazungumzia watu. Maslahi ya wafanyakazi, malipo ya wakandarasi, manyanyaso ya walipa kodi, kubambikiwa kesi, mafaili ya kesi yasiyokwisha upelelezi, punguzo la vifungo 5000 haijapata kutokea, uhuru wa kuongea (vpn kufunguliwa), vitendea kazi kwa watumishi.
Kuhusu demokrasia walao vyama vimeingia gereji kutengeneza vyama vyao.
 
Kila anapohutubia anazungumzia watu. Maslahi ya wafanyakazi, malipo ya wakandarasi, manyanyaso ya walipa kodi, kubambikiwa kesi, mafaili ya kesi yasiyokwisha upelelezi, punguzo la vifungo 5000 haijapata kutokea, uhuru wa kuongea (vpn kufunguliwa), vitendea kazi kwa watumishi.
Kuhusu demokrasia walao vyama vimeingia gereji kutengeneza vyama vyao.
Kuzungumza ni kitu kimoja na kutenda ni kitu kingine. Japo ''kuzungumza'' ni dalili nzuri lakini maisha yamenifunza niamini kuwa siyo kila dalili inatoa matokeo husika. Watanzania ni wepesi wa kudanganywa kwa sababu wanaamini vitu kwa haraka bila kutafakari na kujipa muda. Uzoefu umenifunza kuwa kila rais mpya anayeingia huingia na hamasa mpya lakini baada ya muda kila kitu huyeyuka. Simhukumu mama Samia lakini natoa tahadhari kuwa tuwe wavumilivu na wachunguzi bila kutoa hitimisho kwa haraka.
 
Back
Top Bottom