Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Hapana hakuwaamini wasaidizi wake ndo Mana alijitahidi kutafuta watu nje ya mfumo akiamini hawatofanya kimazoea sema ego yake ilimtawala ika mpofusha akashindwa kuwaamini hata hao na kudharau professional zaoAlikosa washauri wazuri tu
Tutamkumbuka magufuli kwa uzalendo wake na ubaguzi ulio wazi kwa watanzaniaHapana hakuwaamini wasaidizi wake ndo Mana alijitahidi kutafuta watu nje ya mfumo akiamini hawatofanya kimazoea sema ego yake ilimtawala ika mpofusha akashindwa kuwaamini hata hao na kudharau professional zao
Kachanganyikiwa kupita maelezoMataga bana [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe utakuwa unakunywa gongo,mimi naongelea mwenge wewe unaniletea habari za upekuzi.
Ndiyo maana nimesema unakunywa gongo, kwani hujui likitolewa tamko kuzuia mwenge kwa sababu ya mikusanyiko,tamko hilo litaenda sambamba na zuio la shughuli nyinginezo zinazohusisha mikusanyiko mikubwa.Sijui huko shuleni mlienda kusomea nini.we si umegusia covid eradication kwa kuepusha mikusanyiko isnt it? then mbna unakwepa maoni?
Kiufupi Mwenge hauna faida yoyote.Kukimbiza mwenge ni ibada ya kishetani, sasa ili kumpa Mungu utukufu the moment nikichaguliwa kuwa rais wa nchi ni kupiga marufuku mbio za mwenge from day one. Itabaki tu kumbukumbu kwa waabudu shetani na wapagani wa nchi hii, mark my words...
Muda utaongea.Ngoja tuone...
Katika haya maisha, ogopa sana watu wanaokusifia mwanzoni mwa safari!Akili ya Kawaida kabisa ingeweza kung'amua walioenda kuhudhuria msiba wa Magufuli, hawakuwa kwenye kitisho chochote cha kuuwawa na vyombo vya dola. Lakini waliotakiwa na Lisu kuandamana dhidi ya ushenzi kwenye uchaguzi ule...
Hatupigia hatua kwani watu wengi kama wewe wasio jua kuchangia hoja bali matusi na kujidharau ndo wanafanya tusiendelee. Wakidhani kudharau mila na desturi ni ujanja. China wameendelea kwa tamaduni zao, India vile vile. Taifa lisilo na utamaduni ni mfu.Narudia kusema, kuabudu mwenge ni ujinga. Mila za mtu mweusi ni za kijinga ndiyo maana hatupigi hatua yoyote kwenye maendeleo.
Taifa kuwa na tamaduni siyo kosa,tatizo ni kuenzi tamaduni za kijinga. Yaani wewe unaona mbio za mwenge ndiyo utamaduni wa kuuenzi.Alafu hao wazungu,wachina unaowatolea mfano ya kwamba wanaenzi tamaduni zao,huwezi kuta wanaenzi vitu vya kipuuzi.Mzungu,mchina siku zote wanaenzi sayansi,na ndicho kilicholeta mapinduzi kwenye mataifa yao.Hatupigia hatua kwani watu wengi kama wewe wasio jua kuchangia hoja bali matusi na kujidharau ndo wanafanya tusiendelee. Wakidhani kudharau mila na desturi ni ujanja. China wameendelea kwa tamaduni zao, India vile vile. Taifa lisilo na utamaduni ni mfu.
Hivyo mtu yoyote mwenye kudharau asili yake hatokaa apate maendeleo. Endelea kujidharau!
Upo sahihi mtoa mada1. Futa mwenge wa uhuru kwa mwaka 2021. Huwezi kusema unapambana na corona wakati huo unaruhusu mbio za mwenge. Kwa kawaida wakati wa mbio za mwenge kuna kuwa na mikusanyiko mikubwa inayoweza kuchochea maambukizi ya corona.
2. Piga marufuku tabia inayoendelea kwa sasa ya kuwachangisha watumishi fedha kwa ajili ya mbio za mwenge. Kumbukua watumishi hao hawajaongezewa mishahara kwa miaka 6,hivyo siyo sawa kabisa kuwaomba michango kuchangia mbio za mwenge.
Na hata kama wangekuwa wameongezewa mishahara bado siyo ustaarabu kuchangisha fedha toka kwa watumishi kwa ajili ya mwenge.
Ni hayo kwa leo.