Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Wajane wa dhalim mwendazake bado mnateseka tu?
 
.
 
Thubutu.....

Hapo tutaambiwa ulikua wa huru na haki.
 
Kwa heshima na taadhima, nanatoa pongezi kwa juhudi anazofanya Mheshimiwa rais hasa katika suala zima la weledi na usimamizi wa haki kwa kuimarisha utulivu na maendeleo ya taifa letu.

Pamoja na hatua ambazo ameelekeza zichukulilwe, zikiwemo za kujenga mazingira rafiki kwa wawekezaji, kuongeza wigo wa makusanyo ya kodi na kujenga mazingira rafiki ya ulipaji kodi kwa walipa kodi, liko jambo moja muhimu la kuangalia zaidi ya TRA kama taasisi nalo ni WAFANYA KAZI WA TRA na si TRA ka

1. Uzembe na uonezi tRA uko matawini wakiongozwa na managers wa matawi.

2. Wanawabambikiza watu kodi ili kujenga mazingira ya rushwa na kuwakomoa walipa kodi wanapowasilisha malalamiko ya kwa uzembe wa matawi yao.

3. Ama kuwaongezea watu kodi zisizo halali imekuwa pia mbinu inayotumiwa katika kufikisha ama kuzidi malengo waliyopewa ili wajenge majina, na huu ni udanganyifu ambao unatengeneza jinai.

4. Wanawatishia watu kama wakienda kulalalmika kokote, wakatiwa hatianik hao wafanyabiashara watafanyiwa figisu hata na wenzao baada ya wao kwa kuwa wao wanamitandao mipana. Kama unataka jaribu uone utakavyoishia jela kwa kubambikizwa kesi za kutakatifisha fedha, kukwepa kodi n.k. Nachelea kutoa mifanyo halisi ya watoa taarifa hii walichoambiwa kwa kuogopa wasije wakalipizwa visasi wakitambuliwa na wahusika kwa matukio yalivyokuwa.

Mwananchi anayedunduliza vijicent vyake ili angalau watoto wapate hata mlo mmoja kwa siku, anajitahidi kwenda katika ofisi za TRA na kuonesha ushirikiano ili apigiwe hesabu zake sahihi za kodi alipe bila kusukumwa, anaishia kfanyiwa mizengwe na kutishiwa akichukua hatua atabambikizwa kesi. Taifa hli linaelekea wapi ?

Raia wanapoishi kwa machozi, siyo baraka kwa Mungu. TRA, wanapashwa kufanya kazi kwa weledi na haki, lakini hawa waliopo waliozowea na tayari wameshaota mizizi ya kunyonga watu hawawezi kubadilika kwa mabadiliko ya sera na maonyo. Hata sera zilizopo, haziwaongozi kufanya uharifu wa kalamu na kuwafunga watu midomo kwamba kusema kutawapelekea wambambikziwe kesi zisizo dhamana. Huu ni unyang'anyi na ujambazi.

Ombi langu kwa TRA,

1) Ingieni mkataba na Independent Consultant, awafanyie online survey kwa kupitia mitandao ya simu, ili walipa kodi wenu walio kwenye database yenu, wawaambie matukio yote kinaga ubaga ya uharifu wanayofanyiwa na Wafanyakazi wenu, kwa majina yao na maeneo yao, na vyeo vyao. (Ieleweke masanduku ya mawazo ya matawini hayafanya kazi na hata unapozingatia mtu ana hofu).

2) Waondoeni hao waharifu kati yenu, ajirini watu wapya kwa kuwa graduates wengi tu wapo mitaani hawana kazi ili kujenga taasisi imara, inayofanya kazi kwa weledi na uadilifu.

BILA KUCHUKUA HATUA HIZI MAHUSUSI, JUHUDI ZE KUBORESHA MAZINGIRA YA KODI NA KUPANUA WIGO NA KUACHA WATENDAJI WAHARIFU WAKITAMALAKI, HAZITAFANYA KAZI KWA KIWNGO KINACHOKUSUDIWA.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Kwanza nafikiri lazima kuwena sheria rafiki, kila mtuhumiwa ni hana hatia mpaka iwe vinginevyo kutoka kwa pilato
Makosa ya uhaini, udhalilishaji na labda ugaidi ndio yasiwe na dhamana. Lakini hii loophole lazima tu wawe miungu watu

nadhani utengenezwe mfumo kama wa watu wa VAT transactions zako ndio zitaamua kodi yako ya kulipa, ifike pahala kuonana na mtu wa TRA personally kuwe na sababu kama wale wamama wa counters tanesco enzi hizo kabla ya mobile and banking transactions
 
Dr Charles Kimei Naye aliangukia pia, Leo ni mbunge. Kweli watakao uona ufalme wa mbinguni ni wachache sana.
Wananchi walimuonesha Mbowe na Mrema wake kwamba siasa zao za ulaghai na demokrasia yao wa uongo uongo si lolote si chochote mbele yao. Kwahiyo maamuzi ikawa ni kumchinjilia mbali Mrema, na kumkabizi ubunge mwana CCM. Haiwezekani mwenyekiti anaepigania demokrasia nchini atoke huko alipotoka aje awachagulie wananchi mtu wasiemtaka kwenye jimbo lao awaongoze, kukubali kwao ingekuwa ni zaidi ya unyumbu aisee.
 
Muambie mataga mwenzake, labda atakuelewa aache kuendelea kuweweseka na kuteseka.
 
Mwenyekiti anaendelea kuitumikia kazi tuliyomtuma kwa uaminifu mkubwa. Najua 2025 atatutengenezea mazingira mengine ya ushindi mkubwa kama alivyofanya katika chaguzi zilizopita hasa hasa uchaguzi wa mwaka 2015 na 2020. R.I.P kwa aliekuwa mpinzani wa kweli mch Mtikila na Chacha Wangwe. wapinzani wa kweli huwa hawaishi miaka mingi.





 
Waliko mjengoni dodoma wajiandae kuwatumikia wananchi na kuonekana wanafanya kazi majimboni, ule wakati wa kusema nileteeni huyu nileteeni huyu haupo tena. Ule mpango wa kupitia bila kupingwa haupo tena. Jiandaeni kisaikologia mwaka 2025
Kuna kazi itafanywa Kina hao hao wabunge
Muambie mataga mwenzake, labda atakuelewa aache kuendelea kuweweseka na kuteseka.
Mataga kwangu ni msamiati nisioufahamu.
 
ndefu sana sijasoma yote ngoja na Mimi nichangie kidogo, nyinyi wafanyabiashara hamtaki kufuata sheria inavyoelekeza mwezi uliopita nilikwenda kununua vifaa vya ujenzi nilivyoomba risiti nikarudishiwa hela na mzigo ukashushwa kutoka kwenye gari nilikuwa na nanunua simenti hii ni baada ya kukataa risiti iliyokuwa haendani na gharama niliyolipa je ni nani unataka ajenge nchi.
 
Acha dawa ikuingie tu. Wewe tulia. Kwa papara kama hizi ni dhahiri mmeshikwa pabaya. Mtu makini husoma na kuelewa kabla hajajibu. Vinginevyo endelea kuropoka bila kuelewa somo ujichore vizuri.
 
Kwa niaba ya watumishi wote tunakushukuru sana. Ni miaka name sasa watumishi waliishi bila matumaini. Tunaomba pia mama na wenzetu ambao hawajapata ajira nao uwafikirie hata kwa awamu awamu hapo huwezi ajiri wote. Watu wote hawawezi kujiajiri mana mitaji ni tatizo.

Mungu akubariki sana.
 
Mkuu, pongezi za nini sasa! Hata magufuli angebaki hai mpaka leo, bado angetupandisha tu. Maana haki ya mtu inacheleweshwa tu! Ila mwisho wa siku ni lazima ipatikane.

By the way, siyo watumishi wote wenye sifa wamepandishwa mwezi huu. Sasa huoni haujatutendea haki sisi watumishi wenzako ambao tumepokea mshahara ule ule wa miaka yote!! Maana umesema watumishi wote tunampongeza!!
 
Magufuli alisema atapandisha salary siku anatoka madarakani na hapa tuna assume kama angekua mkweli maana alikua ana historia ya kusema uongo.
 
July wote itakua tayari,ni makosa ya kibinadamu yaliyotokea tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…