chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
kufaaaHuwa sijibu mambo ya design hii.
Hebu subiri watu waje.
hongeraMimi nina furaha kubwa sana
Mwezi June nimelipwa malimbikizo ya miaka 3 nyuma, nimepanda daraja.
Turudi Zanzibar tu
OyeeeZanziba hoyeeeee juu ju juu zaidi.
Ahsante, sikutegemea kama atalipahongera
Hongera.. Hiyo ndio Maana halisi ya Subira ya huvuta heriMimi nina furaha kubwa sana
Mwezi June nimelipwa malimbikizo ya miaka 3 nyuma, nimepanda daraja.
Turudi Zanzibar tu
Kaka naona DM zangu hujibu nduguMimi nina furaha kubwa sana
Mwezi June nimelipwa malimbikizo ya miaka 3 nyuma, nimepanda daraja.
Turudi Zanzibar tu
Huyu anatakiwa kutafuta jimbo 2025, akikosa ataenda kupumzika ubaloziniBashiru njoo
ww jamaa umenitapeli 30000 yangu .. Tapeli mkubwa wwKaka naona DM zangu hujibu ndugu
Viongozi wengi wanaotoka Zanzibar wanajali utu sana.kwa kweli wanafaa zaidi. Inaelekea unapoingia ndani zaidi kuelekea bara ndivyo wanatoka watu katili zaidi. Distance from the sea. Closer one is to the sea more humanly he become. Further one is from the sea more rude he become.Mimi nina furaha kubwa sana
Mwezi June nimelipwa malimbikizo ya miaka 3 nyuma, nimepanda daraja.
Turudi Zanzibar tu
Hakika mkuu, sijui bahari ina nini?Viongozi wengi wanaotoka Zanzibar wanajali utu sana.kwa kweli wanafaa zaidi. Inaelekea unapoingia ndani zaidi kuelekea bara ndivyo wanatoka watu katili zaidi. Distance from the sea. Closer one is to the sea more humanly he become. Further one is from the sea more rude he become.