Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Hbr na habar za eid Wala wenzangu na Mimi!

Iwe alijua au hajajua amekuwa msikivu haswaa na huu ndo uadilifu wa kiongozi mkuu anavyotakiwa!
Yaan awe alipanga au hakupanga alimradi uitikio ameufanya ambayo Aya Mambo tuliyakosa muda mwingi saana.
Asnt mama!
 
Watu kama nyinyi mngefungiwa tu kuweka thread humu, sasa ndo nini hii umeandika?
 
Yaani umeandika kana kwamba wote tupo kichwani mwako!! 😁😁😁
 
Ushauri wangu ni kuwa awe makini katika kutoa maamuzi na zwe thabiti na maamuzi yake hayo kwani wote wanaomchukia marehemu JPM watayakubali tu. Kutoa maamuzi na kuyabadilisha keshoi yake ni dalili ya kupwaya ambayo siyo sifa ya ya mtu kuwa rais. Mifano ya teua+tengua na kodi_miamala+kodi_miamala_iangaliwe_upya ni dalili mbovu.
 
Utawala wa Samia utawafavor matajiri sio makapuku
 
Maskini safari hii mmeguswa! Kilio kila kona. Kama vipi tuungane basi kuiondoa ccm madarakani.

Maana karibia nusu ya makusanyo ya hizo kodi zenyewe kila mwezi, hutumika kulipia mishahara na kuendeshea serikali.
Maskini wapi unaowaongelea? Hawa Watanzania? Wapo tayari wanyonywe Hadi Senti ya Mwisho lakini usiiguse CCM
 
Ndugu Mheshimiwa Rais. Katika siku hii ya kuzaliwa na ya sherehe, ninakutakia afya njema, mafanikio katika kazi yako inayowajibika kwa ustawi wa Urusi, furaha ya kibinafsi na ustawi kwako na kwa wapendwa wako. Mei uwe na msaada wa dhati na kamili kutoka kwa wenzako na marafiki
 
Mh rais Samia suluhu Hassan ccm ni chama kinachoelekea kufa ndio maana kina hulka za kibabe na pia tabia za magufuli kutumia nguvu zisiweke kivuli kwenye haiba yako. Tumia busara kuliko nguvu. Mwisho wa siku utapimwa wewe Kama wewe.
 
Kishachafuka huyo Mkuu na si ndani ya nchi tu bali mpaka nje ya mipaka ya Tanzania.

Mh rais Samia suluhu Hassan ccm ni chama kinachoelekea kufa ndio maana kina hulka za kibabe na pia tabia za magufuli kutumia nguvu zisiweke kivuli kwenye haiba yako. Tumia busara kuliko nguvu. Mwisho wa siku utapimwa wewe Kama wewe.
 
Chama ni kikubwa kuliko mtu bila CCM Samia si kitu CCM ipo pale na itakuwa pale ni sawa na Chadema leo umwambie Mbowe afanye mambo nje ya idiology ya Chadema haitowezekana
 
Mh rais Samia suluhu Hassan ccm ni chama kinachoelekea kufa ndio maana kina hulka za kibabe na pia tabia za magufuli kutumia nguvu zisiweke kivuli kwenye haiba yako. Tumia busara kuliko nguvu. Mwisho wa siku utapimwa wewe Kama wewe.
Kuandika kwenyewe hujui kuandika mbwa wewe halafu unasema utmbo gani???!!
 
Wewe ni Mama Raisi wetu mpendwa, kuwa na huruma Mwenyekiti wetu amatekwa na Mapolisi wa huko Mwanza.
 
Tatizo mwenyekiti alitaka kumpanda kichwani, kuna lugha za kimabavu zilikuwa zinatumika tofauti na enzi za mwendazake....ni kama walikuwa wanamuona ni dhaifu na kumletea dharau, nafikiri kaamua kuwaonyesha kuwa na yeye ana wembe ule ule, akiamua kuwanyoa anaweza !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…