Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Akikujibu swali hilo nistuwe.ITIKADI ya chama chako ni ipi?
Tusishinikize criminal case imalizwe kisiasaBado kufuta kesi ya Mbowe tu.
Hii hapa mkuu[emoji1787]ITIKADI ya chama chako ni ipi?
Hao walafu ndo wanamsifia na kumuambia anaupiga mwingi huku wakiiba resilkmali za nchiYalikuwa ni mawaidha bora kabisa,
Pia rais phillipo Nyusi wa msumbiji na Tshisekedi wa congo nao waliongea vyema sana kumtia moyo na kumueleza namna bora ya kufanya kazi Kama mchwa.
Naona kazingilwa na walafi wa mali za umma
wahuni atawashughulikia mmezidi unafikiYalikuwa ni mawaidha bora kabisa,
Pia rais phillipo Nyusi wa msumbiji na Tshisekedi wa congo nao waliongea vyema sana kumtia moyo na kumueleza namna bora ya kufanya kazi Kama mchwa.
Naona kazingilwa na walafi wa mali za umma
Hao walafu ndo wanamsifia na kumuambia anaupiga mwingi huku wakiiba resilkmali za nchi
CCM sio chama cha siasa.Yalikuwa ni mawaidha bora kabisa,
Pia rais phillipo Nyusi wa msumbiji na Tshisekedi wa congo nao waliongea vyema sana kumtia moyo na kumueleza namna bora ya kufanya kazi Kama mchwa.
Naona kazingilwa na walafi wa mali za umma
The honeymoon might be over! Mwaka haukutimia. Anaweza kukikimbia kitiWalikuwepo viongozi wengi toka nchi jirani mbalimbali kuaga mwili wa hayati Magufuli,mengi walizungumza mema kuhusu kiongozi huyu,
Nakumbuka hotuba ya uhuru Kenyatta ,alikwambia dada yetu njia umekwisha onyehwa na hayati Magufuli,wengi walishangilia na wewe imani yangu ulipata ujasiri
Nini kimekukuta ndani ya muda mfupi ikiwa njia ulikwisha onyeshwa?
Hebu tafakari upya tena maneno ya Uhuru Kenyatta.
Kuteleza sio kuanguka,muda unao wa kujisahihisha,serikali bado ni ileile na wewe ndio Amiri jeshi mkuu
Yenu vipi pandora paperUbabaishaji hakuna chochote,nchi yenu viongozi wenu ni wahovyo Sana