fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Nakusapoti kabisa kwa hoja yakoUkweli lazima usemwe tu, Kuna kakikundi flani ambako Wana jaribu Sana kutumia nguvu ili kuafifisha juhudi na kazi kubwa anayo Ifanya Rais wetu mpendwa...
Huko ni kujitia upofu, mbona kafanya kazi hata kumzidi mtangulizi wake, mama ana uwezo mkubwa Sana Tena itachukua muda mrefu Sana kumpata Rais mwenye uwezo Kama wa mama pale atakapo kuwa ametoka madarakani.Mmakunduchi anajikwamisha yeye mwenyewe, kwa sababu hatoshi-uwezo mdogo, na kichwa chake kiko hivyo-asipambane na nuture anaweza kuumwa; angejiuzuru akabaki na heshima, CCM wakapendekeza mtu mwingine
hivi kwanini vyeti feki mna makasiriko sanaYaani unamshauri mama afuate njia ya jini jiwe a.k.a dikteta??
Wewe huja ziona wapi. Utajibiwa kwa kadri unavyo uliza, au kwa kadri ya tunavyo uona upeo wakoHizo juhudi wewe umeziona wapi?
Jibu swali, umeziona wapi? Usikimbie swali kwa kuweka swali lingine.Wewe huja ziona wapi. Utajibiwa kwa kadri unavyo uliza, au kwa kadri ya tunavyo uona upeo wako
Soma thread, usikurupuke kuuliza.Jibu swali, umeziona wapi? Usikimbie swali kwa kuweka swali lingine.
Jibu swali, umeziona wapi?
Power powerWalikuwepo viongozi wengi toka nchi jirani mbalimbali kuaga mwili wa hayati Magufuli,mengi walizungumza mema kuhusu kiongozi huyu,
Nakumbuka hotuba ya uhuru Kenyatta ,alikwambia dada yetu njia umekwisha onyehwa na hayati Magufuli,wengi walishangilia na wewe imani yangu ulipata ujasiri
Nini kimekukuta ndani ya muda mfupi ikiwa njia ulikwisha onyeshwa?
Hebu tafakari upya tena maneno ya Uhuru Kenyatta.
Kuteleza sio kuanguka,muda unao wa kujisahihisha,serikali bado ni ileile na wewe ndio Amiri jeshi mkuu
Sawa mtasubiri sanaYenu vipi pandora paper
Utashi wa raisi uko mdogo pia uwezo wa kujieleza ni mdogo pia udini unamtesa pia uzanzibari unamtesa piaHadi sasa hongera sana,
Ila angalia wamachinga umetuondoa sisi ila umeacha malori kariakoo ambayo ni shida kuliko sisi
Barabara zote mpya zinakufa ndani ya muda mfupi tu kariakoo
Huu ni ufisadi na uhujumu uchumi,
Eti wanasema malori ni ya wakubwa hayawezi ondoka kariakoo hata yakiharibu barabara basi mujue wamachinga wanawasubiri kwenye boksi
Misiri kaenda Juzi kiwanda kinaota tu kama mchicha?. Achana na wapambe ndugu yangu.Hujasikia leo ikisemwa kiwanda cha leo ni matokeo ya ziara kule Misri? Hujamsikia Makala akimwomba mama aongeze zaidi safari za nje ili wawekezaji zaidi waje?
Hivyo basi, ni matunda ya ziara za awamu ya sita na siyo kujifungua kwa awamu ya tano.
Kumbe wale ni wapambe nuksi tu?Misiri kaenda Juzi kiwanda kinaota tu kama mchicha?. Achana na wapambe ndugu yangu.