Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,793
- 1,961
Mwambie huyo jamaa asiye jifahamu yeye ni nani.Kwanini mnalazimisha kila mtu kuwa muoga!?... Umeshawahi kupanda mwendokasi asubuhi au jioni!?.., hakuna cha balakoa wala nini na watu wanajaa vibaya, hiyo Corona ingekuwa hatari Kimara wote wangekuwa wanauguza. Tanzania imechagua njia iliyoichagua ku deal na Corona. Uliwahi muona Samia na barakoa!?,hujiulizi kwanini!?, Kama unataka jifungie na familia yako,wahimize wavae barakoa, wasiende popote wajifungie tu. Mwende Kenya mkachanjwe halafu mrudi. Wengine mtuache maana mmechagua kufata njia hizo. Wazungu kibao wanapinga hizo chanjo.
Yote yaweza kuwa sahihi lakini kwanini wanaotaka chanjo waambiwe waende nchi za nje? Kwanini zisije ili wanaotaka wapate badala ya kupangiwa na wasiozitaka! Inamaana dunia nzima haijipendi na tunaojipenda na wenye umakini ni sisi tu linalokuja suala la chanjo!Kwanini mnalazimisha kila mtu kuwa muoga!?... Umeshawahi kupanda mwendokasi asubuhi au jioni!?.., hakuna cha balakoa wala nini na watu wanajaa vibaya, hiyo Corona ingekuwa hatari Kimara wote wangekuwa wanauguza. Tanzania imechagua njia iliyoichagua ku deal na Corona. Uliwahi muona Samia na barakoa!?,hujiulizi kwanini!?, Kama unataka jifungie na familia yako,wahimize wavae barakoa, wasiende popote wajifungie tu. Mwende Kenya mkachanjwe halafu mrudi. Wengine mtuache maana mmechagua kufata njia hizo. Wazungu kibao wanapinga hizo chanjo.
Sasa mkuu hilo lina shida? Serikalini kuna nafasi zinatangazwa internally kwa watumishi kama una uwezo unaomba.Sio kweli ,baada ya 2015 ndio upuuzi wa kuhamishia wafanyakazi toka halmshauri kuja kwenye mashirika ya umma ndio ulishamiri
Mimi sitachanja kabisaaaUtafiti umeonyesha watu waliochanja chanjo za kuzuia mafua (common cold) wana hatari zaidi ya kuambukizwa magonjwa ya njia ya hewa ikiwemo covid-19. Hii kitaalamu inaitwa vaccine driven enhancement of pulmonary infections. Wizara ya afya wawe makini kufanya mass vaccinations ya korona ili kusije kuwa na shida kubwa huko mbeleni na kusababisha 'impairment of population immunity to pulmonary infections' jambo ambalo litapelekea watu kutegemea periodic boosters, yaani tutalazimika kuchanja kila baada ya miezi 6 kuweza ku-sustain immunity.....atakayehitaji chanjo anaweza kwenda kivyake vyake kuchanja na siyo serikali kufanya kampeni ya chanjo ya covid-19...
Nenda hapo Kenya zipo sisi TZ mpaka research zao zikamilike na kuwe na chanjo kamili siyo majaribio yao wanayofanya kwa sasa.Yote yaweza kuwa sahihi lakini kwanini wanaotaka chanjo waambiwe waende nchi za nje? Kwanini zisije ili wanaotaka wapate badala ya kupangiwa na wasiozitaka! Inamaana dunia nzima haijipendi na tunaojipenda na wenye umakini ni sisi tu linalokuja suala la chanjo!
Acha kulazimisha kupangia watu. Unaposema sisi Watanzania nani kakupa haki ya kuwapangia wengine?Nenda hapo Kenya zipo sisi TZ mpaka research zao zikamilike na kuwe na chanjo kamili siyo majaribio yao wanayofanya kwa sasa.
Ndio maana unaona hata humu kuna comments nyingi za vijiweni bila chembe ya utaalamu hata kidogo..”Oh sisi tunasema hivi”Shida ilianzia pale ugonjwa huu ulipobebwa kama ajenda kuu za kisiasa na wapinzani na watawala.
Daah kweli Mama hamtupi mtu Mungu ni mwema kwa kweli hicho kikundi cha wahuni kimetutesa sana ila machozi yetu na maumivu tuliyonayo sio ya kuisha leo.Tinamuombea kwa nguvu zote. Watu wasiojulikana pamoja na baba yao, na Kaka yao DAUDI BASHITE waliinajisi sana nchi hii, waliua watu, walipora, walifunga kwa kusingizia, waliteka watu, walipoteza watu, halafu kutwa nzima wakawa wanashinda kwenye nyumba za ibada eti tuwaombee
Hivi huyo jamaa mwenye hips kubwa anaepata watoto kwa njia ya kupandikizwa yupo wapi?? Na je lile zuio la USA kuwa asiingie nchini mwao liliishia wapi!??Tinamuombea kwa nguvu zote. Watu wasiojulikana pamoja na baba yao, na Kaka yao DAUDI BASHITE waliinajisi sana nchi hii, waliua watu, walipora, walifunga kwa kusingizia, waliteka watu, walipoteza watu, halafu kutwa nzima wakawa wanashinda kwenye nyumba za ibada eti tuwaombee
Hutakaa uisikie hii kauli tena,wanaruka na kukanyagana.Mitano tena [emoji205]
Naunga mkono ✋ hojaTunaendelea kumuombea Rais wetu mpendwa Mama Samia Suluhu Hassan ili Mwenyezi Mungu aendelee kumpa hekima na busara na pia maisha marefu.