Wabunge wa ccmNa wabunge wao ni wanafiki wamegonga meza hadi mikono imeota sugu.
Ukute wametumwaWanapiga makofi mpaka jina la mtu likitajwa tu! Wanahribu hadi flow ya mzungumzaji?
Ukute wametumwa
Tuna wabunge sio wa dunia hii, kuimba, kusimama, makofi hata sehem isiyo ya makofiNa wabunge wao ni wanafiki wamegonga meza hadi mikono imeota sugu.
Yan mkuu we acha tu , utakuta ata mzungumzaji amekerekaWanapiga makofi mpaka jina la mtu likitajwa tu! Wanahribu hadi flow nzima ya mzungumzaji
kwani yeye mwenyewe siyo ccm? siyo mataga?CCM walizoea kuishi kwa urongo, ufitini, uzushi, utekaji, na kejeli.
Rais Mama Samia ameyakataa mambo haya yote na hivyo kuwaweka CCM wakose ajenda dhidi ya Upinzani. Wanatakiwa kujibu hoja kwa hoja na sio kwa mapanga.
Je wataweza?
Anapiga mziki wa CCM wanapagawa wapinzaniKwani mama ni chama gani?
50/50kwani yeye mwenyewe siyo ccm? siyo mataga?
Bavicha bhana... as if rais anatoka upinzani...CCM walizoea kuishi kwa urongo, ufitini, uzushi, utekaji, na kejeli.
Rais Mama Samia ameyakataa mambo haya yote na hivyo kuwaweka CCM wakose ajenda dhidi ya Upinzani. Wanatakiwa kujibu hoja kwa hoja na sio kwa mapanga.
Je wataweza?
Ulitakaje? Hukuelewa?Bavicha bhana... as if rais anatoka upinzani...
Mataga is a myth ambayo ipo kwenye ubongo wako.....CCM walizoea kuishi kwa urongo, ufitini, uzushi, utekaji, na kejeli.
Rais Mama Samia ameyakataa mambo haya yote na hivyo kuwaweka CCM wakose ajenda dhidi ya Upinzani. Wanatakiwa kujibu hoja kwa hoja na sio kwa mapanga.
Je wataweza?
Wabunge wa ccm
Mbona MATAGA wengi tu wameishahama nchi mkuu? Mama Samia kawamaliza......hawana pa kutokea.CCM walizoea kuishi kwa urongo, ufitini, uzushi, utekaji, na kejeli.
Rais Mama Samia ameyakataa mambo haya yote na hivyo kuwaweka CCM wakose ajenda dhidi ya Upinzani. Wanatakiwa kujibu hoja kwa hoja na sio kwa mapanga.
Je wataweza?