Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Du umenikumbusha mbali, beberu ni pale tuu anapotusema na kuingilia mambo yetu ya ndani ya sovereignty yetu. Lakini anapotusaidia ni nchi wahisani, nchi wafadhili, the donor community, the development partners, nchi marafiki, washirika wa maendeleo etc.".
And something reminds that, it's "Beberu" Claire Short who revealed BAE Scandal wakati akina Mayalla enzi hizo mnakula mishahara inayolipwa na wale wale waliokuwa wametuingiza kwenye BAE Saga, na wala hamkutujuza kuhusu BAE!
Kusingekuwa na upinzani imara Tanzania wewe Pascal na wasukuma wenzako kwa maelfu msingesambazwa kila kona ya nchi kumfanyia jiwe propaganda na kutesha wapinzani. Hakuna serikali iliyofanikiwa kwenye propaganda kama hii. Na tena ina ajenda za siri za kuua nyingi sana.Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!.
Wanadhani Tanzania kuna serious na credible opposition ya kuweza kukabidhiwa Ikulu yetu!.
It's very unfortunately hawajui kuwa Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana wenye uwezo wa kushika dola!. Huu upinzani uliopo ni upinzani uchwala!.
Kwa uchaguzi huu wa 2020, japo ni mchungu kumeza ila ndio ukweli wenyewe
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.
P
Ukitaka aseme nini?Tukio la hivi karibuni la KUUWAWA kwa George kwa ubaguzi wa rangi kule Marekani mbona alikaa kimya?
Beberu mzawa!Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!.
Wanadhani Tanzania kuna serious na credible opposition ya kuweza kukabidhiwa Ikulu yetu!.
It's very unfortunately hawajui kuwa Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana wenye uwezo wa kushika dola!. Huu upinzani uliopo ni upinzani uchwala!.
Kwa uchaguzi huu wa 2020, japo ni mchungu kumeza ila ndio ukweli wenyewe
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.
P
Hakuna mpinzani anaeteswa mkuu,wapinzani wanajitesa wenyewe kwa kukosa hoja za msingi za kusimamia kwa sababu mambo yote yaliyokuwa yanapigiwa kelele yamepata muarobaini sasa badala ya wapinzani kubadilika na kuja na strategy mpya wameshindwa wamebaki kufanya maigizo tu kutafuta huruma ya wananchi.Kusingekuwa na upinzani imara Tanzania wewe Pascal na wasukuma wenzako kwa maelfu msingesambazwa kila kona ya nchi kumfanyia jiwe propaganda na kutesha wapinzani. Hakuna serikali iliyofanikiwa kwenye propaganda kama hii. Na tena ina ajenda za siri za kuua nyingi sana. Nina uhakika mwisho wa jiwe ni mbaya tu! Kuweni na akili ya kumsaidia ajifunze kutoka kwa akina Mobutu, Idd Amin, Mugabe, Ghadaffi, Saadam, Hosni Mubarak, n.k na hata Jose Edwardo dos Santos juzi tu...
Fomu bado zipo na hakuna aliekatazwa kuchukua kinachoendelea ni kwamba kila anaefikiria kuchukua na akijipima na Chuma mzani unaelemea upande mmoja hiyo ndio raha na faida ya uchapakazi....kila wakiwaza wanaona bora iendelee kuwa fomu moja tu.Pascal Mayalla, Magufuli Ni mwoga kuliko kunguru. Kwanini hakuwakemea wale Wasukuma wachawi wa Gamboshi waliposema watamuua mtu yeyote atakaye chukua fomu CCM kushindana na Magufuli?
Kwanini fomu ya urais CCM Tanzania 🇹🇿 Bara itolewe moja tu?
Jibu rahisi ni kwamba Magufuli kausoma upepo, kwamba hata angeshindana na Kingwendu kamati kuu ingempiga chini na kumpendekeza Kingwendu, full stop.
Simiyu: Waganga wa jadi kutoka Gamboshi na Bariadi wadai kumloga Mwana CCM atakayechukua fomu kumpinga Magufuli
Endeeleni kujifariji hivyohivyo mtashangaa Oktoba na akimaliza tunabadili katiba aendelee ATAKE ASITAKEMagufuli mwoga sana, hana ushawishi wowote na anajua kabisa jinsi asivyokubalika na wengi.
Mnamfahamu Membe? Msimfanyie figisu, hilo pepo lenu chafu, hata Gaefalo analibwaga mchana kweupeeeeFomu bado zipo na hakuna aliekatazwa kuchukua kinachoendelea ni kwamba kila anaefikiria kuchukua na akijipima na Chuma mzani unaelemea upande mmoja hiyo ndio raha na faida ya uchapakazi....kila wakiwaza wanaona bora iendelee kuwa fomu moja tu.
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!...
Hizi akili ndogo huwa mnazitoa wapi? yeye anaongelea uchaguzi wewe unaongelea mauji ya kwao. kama huna cha kuchangia si unakaa kimya tuTukio la hivi karibuni la KUUWAWA kwa George kwa ubaguzi wa rangi kule Marekani mbona alikaa kimya?
Kumekucha. CCM, Magu na kanisa wanahitaji vurugu tu TZ. siioni dalili yeyote ile ya CCM kukubali kuachia madaraka. Mwaka huu ni kiboko.Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!...
The enemy of your enemy is your friend.Huu ni ukweli ulio wazi kabisa
Na sisi tumezidi uoga. Acha tunyooshwe tuMagufuli watz wameshamchoka anstumia policcm waliobashite kutisha watu
Ni vizuri wakaanza kuondoa udikteta kwenye nchi zao halafu wazungumzie ya kwetu. Wanawaua weusi wenzetu eti ndio demokrasia !!!!!!!!!!!!!!!!!!!The Magufuli regime in #Tanzania “knows they cannot win on an equal political playing field ... They use any means necessary, including violence, to try to silence the opposition. This is a clear sign of weakness, not strength."
View attachment 1487318
Fears that President Magufuli will create a dictatorship in Tanzania
President Magufuli during an official visit to Kenya the year after he took office promising to tackle corruption
THOMAS MUKOYA/REUTERS
Tanzania dissolved its parliament and set course for an election in October days after an opposition leader was badly beaten and laws were passed granting senior government figures immunity from prosecution.
There is growing concern that President Magufuli, who took office in 2015 promising to tackle corruption, wants to create a dictatorship.
A range of amendments approved by MPs will protect senior ministers from any legal action in the course of governing. Critics say the legislation effectively hands “powers to continue violating constitutional rights” to President Magufuli whose time in office has been marked by crushing freedoms and dissent.
The latest beating of a senior opposition figure came only hours after Tundu Lissu, Mr Magufuli’s most high-profile critic, announced he would return from exile
Fears that President Magufuli will create a dictatorship in Tanzania
Nadhani unaongelea watz walio in your house not all citizens, issue hapa tunaongelea article ya huyo jamaa ambayo ina ukweli ila tusilishane maneno kuwa watz wamemchoka.Magufuli watz wameshamchoka anstumia policcm waliobashite kutisha watu
Nadhani unaongelea watz walio in your house not all citizens, issue hapa tunaongelea article ya huyo jamaa ambayo ina ukweli ila tusilishane maneno kuwa watz wamemchoka.
Kiongozi yeyote wa kitaifa akija na dhamila yake ya ujenzi wa taifa tofauti na mazoea ya wananchi siku zote anakuwa mbaya, tunakumbuka wkt wa Mkapa mlisema sana hasa pale aliposema (wananchi tufunge mkanda..) ikaja JK oooh hafai anacheka cheka aje rais serious mmh, kaja huyo huyo ambaye hata Mbowe alitamani aje jasiri as JPM leo 📣HAFAIII HUYOOOO...
Hapana ngoja kwanza.....
Membe sio tishio kabisaMnamfahamu Membe? Msimfanyie figisu, hilo pepo lenu chafu, hata Gaefalo analibwaga mchana kweupeeee
Takwimu zako zinakudanganya na inaonekana umekaa upande wa wapinzani uchwara ambao from morning to evening mna hasira tu kutwa kujazana sumu tu.Ni wivu tu Magufulio apendwi.